Ni kweli kuwa kuna mkoa mpya unataka uanzishwe wa korogwe? Izi tetesi zimeenea sana hasa baada ya kufunguliwa stand kubwa ya mabasi korogwe (kilole)..
Ni kweli hii..
Anaejua atueleze
Kwa waislam adhana ni sehem ya ibada ya swala. Bila ya adhana hakuna swala! Kuna mafundisho yamekuja kutoka katika hadyth za Mtume (alayh swalatu was salaam) juu ya faida ya kusikiliza na maneno anayotakiwa kusema pindi inapotolewa adhana! Hii inaongeza fadhla kwa anetoa na anaejibu adhana...
Baiskeli ni usafiri wa starehe sana.. we hujui tu. Sass unatoka chuda unaenda tawakal kula tendesheki gari la nini.. uko ndani ya saruni/msuli wako na sehewa yako unakunywa tendesheki bardiii
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.