Recent content by Jumbe Adarusi

  1. Jumbe Adarusi

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!

    Zile penalties mbili refa ameng'ata filimbi hujaona? Mzamiru na ajibu
  2. Jumbe Adarusi

    Usafiri Arusha Shinyanga

    Subiri Ally's inatoka Tanga kwenda Shinyanga via Arusha.. Au Freys
  3. Jumbe Adarusi

    Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Yah ni juhudi za jemedari wetu dr. John Magufuli
  4. Jumbe Adarusi

    Wazaliwa wa mkoa wa Tanga tukutane hapa

    Ni kweli kuwa kuna mkoa mpya unataka uanzishwe wa korogwe? Izi tetesi zimeenea sana hasa baada ya kufunguliwa stand kubwa ya mabasi korogwe (kilole).. Ni kweli hii.. Anaejua atueleze
  5. Jumbe Adarusi

    Maombi ya kazi za afisa maendeleo ya jamii

    Hats degree pia.. Ward Executive II
  6. Jumbe Adarusi

    Je, adhana na kengele bado vinahitajika tena kuitana misikitini na makanisani kusali?

    Aya ya 9 suratul jumua (يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا إِذَا نُودِيَ لِلصَّلَاةِ مِنْ يَوْمِ الْجُمُعَةِ فَاسْعَوْا إِلَىٰ ذِكْرِ اللَّهِ وَذَرُوا الْبَيْعَ ۚ ذَٰلِكُمْ خَيْرٌ لَكُمْ إِنْ كُنْتُمْ تَعْلَمُونَ) [Surat Al-Jumu'ah 9]
  7. Jumbe Adarusi

    Je, adhana na kengele bado vinahitajika tena kuitana misikitini na makanisani kusali?

    Kwa waislam adhana ni sehem ya ibada ya swala. Bila ya adhana hakuna swala! Kuna mafundisho yamekuja kutoka katika hadyth za Mtume (alayh swalatu was salaam) juu ya faida ya kusikiliza na maneno anayotakiwa kusema pindi inapotolewa adhana! Hii inaongeza fadhla kwa anetoa na anaejibu adhana...
  8. Jumbe Adarusi

    Tanga Mjini na Morogoro Mjini zimesinyaa sana

    Baiskeli ni usafiri wa starehe sana.. we hujui tu. Sass unatoka chuda unaenda tawakal kula tendesheki gari la nini.. uko ndani ya saruni/msuli wako na sehewa yako unakunywa tendesheki bardiii
  9. Jumbe Adarusi

    Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

    Nzuri sana hizi
  10. Jumbe Adarusi

    Upi mkoa wa ndoto za maisha yako?

    The civilized city, Tanga.
Back
Top Bottom