Utawala wa Saudi Arabia Kitovu cha Ugaidi Duniani

Bowie

JF-Expert Member
Sep 17, 2016
4,372
6,078
Baada ya mashambulizi ya Sept 11 2001 ilikuja kufahamika kati ya magaidi 20 waliotekeleza mashambulio hayo 19 walikuwa ni raia wa Saudi Arabia, wote tunajua baada ya ugaidi huo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wamepoteza maisha yao huko Afghanistan, Iraq nk.
Leo tumeona nchi ikitumika tena kwa kutaka kuleta vita vya kinyuklia mashariki ya kati kwa kutoa kisingizio kuwa Iran imeshambulia vituo vyake vya mafuta. Huu mpango wa utawala huu ukishirikiana na Israel ni baada ya kuona mahusiano ya serikali ya Marekani na Iran yalikuwa yanaanza kuimarika na hata kufikia hatua ya Rais Donald Trump kumtimua kazi aliyekuwa mshauri wake wa usalama John Bolton ambaye alikuwa mstari wa mbele kutaka nchi ya Iran ishambuliwe.
Dunia nzima inajua serikali ya Saudi Arabia na washirika wake unyama wanaoufanya dhidi ya watu wa Yemen ambapo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wameuwawa pia. Leo wananchi wa Yemen wakijibu mapigo wanakuwa magaidi na Iran inasingiziwa kuwa ndio imeshambulia.
Dunia isitegemee kuwa salama chini ya hawa wafalme Bin Saudh wa Saudi Arabia.
 
Baada ya mashambulizi ya Sept 11 2001 ilikuja kufahamika kati ya magaidi 20 waliotekeleza mashambulio hayo 19 walikuwa ni raia wa Saudi Arabia, wote tunajua baada ya ugaidi huo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wamepoteza maisha yao huko Afghanistan, Iraq nk.
Leo tumeona nchi ikitumika tena kwa kutaka kuleta vita vya kinyuklia mashariki ya kati kwa kutoa kisingizio kuwa Iran imeshambulia vituo vyake vya mafuta. Huu mpango wa utawala huu ukishirikiana na Israel ni baada ya kuona mahusiano ya serikali ya Marekani na Iran yalikuwa yanaanza kuimarika na hata kufikia hatua ya Rais Donald Trump kumtimua kazi aliyekuwa mshauri wake wa usalama John Bolton ambaye alikuwa mstari wa mbele kutaka nchi ya Iran ishambuliwe.
Dunia nzima inajua serikali ya Saudi Arabia na washirika wake unyama wanaoufanya dhidi ya watu wa Yemen ambapo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wameuwawa pia. Leo wananchi wa Yemen wakijibu mapigo wanakuwa magaidi na Iran inasingiziwa kuwa ndio imeshambulia.
Dunia isitegemee kuwa salama chini ya hawa wafalme Bin Saudh wa Saudi Arabia.
Wakisaidiana na Israel
 
Baada ya mashambulizi ya Sept 11 2001 ilikuja kufahamika kati ya magaidi 20 waliotekeleza mashambulio hayo 19 walikuwa ni raia wa Saudi Arabia, wote tunajua baada ya ugaidi huo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wamepoteza maisha yao huko Afghanistan, Iraq nk.
Leo tumeona nchi ikitumika tena kwa kutaka kuleta vita vya kinyuklia mashariki ya kati kwa kutoa kisingizio kuwa Iran imeshambulia vituo vyake vya mafuta. Huu mpango wa utawala huu ukishirikiana na Israel ni baada ya kuona mahusiano ya serikali ya Marekani na Iran yalikuwa yanaanza kuimarika na hata kufikia hatua ya Rais Donald Trump kumtimua kazi aliyekuwa mshauri wake wa usalama John Bolton ambaye alikuwa mstari wa mbele kutaka nchi ya Iran ishambuliwe.
Dunia nzima inajua serikali ya Saudi Arabia na washirika wake unyama wanaoufanya dhidi ya watu wa Yemen ambapo mamilioni ya raia wasiokuwa na hatia wameuwawa pia. Leo wananchi wa Yemen wakijibu mapigo wanakuwa magaidi na Iran inasingiziwa kuwa ndio imeshambulia.
Dunia isitegemee kuwa salama chini ya hawa wafalme Bin Saudh wa Saudi Arabia.
Dah huu ufalme wa sasa ni wa hovyo sana yani.
 
Baada ya mashambulizi ya Sept 11 2001 ilikuja kufahamika kati ya magaidi 20 waliotekeleza mashambulio hayo 19 walikuwa ni raia wa Saudi Arabia,


9/11 Was an inside job done by the then G,W, Bush jr administration, it was a well planed "controlled demolition" of the towers to usher in an invasion of Afghanistan for Americans arms industries to sell their stockpilled weapons.
 
Wakisaidiana na Israel
Ndugu wa damu kabisa wale.
download-3-2.jpeg
 
Nipe nusunakutumia video
Wala si jambo la kujikingia kifua mkuu, kwamba una video hizo nyingi. Kubwa ni kwamba waislamu na uislamu ni vitu viwili tofauti kubwa ni ule uhusiano wao kama dini na wafuasi. Mfuasi wakati wowote anaweza kukengeuka na kufuata matamanio ya nafsi, lakini hilo halibadili kipengele cha msimamo wa dini kwamba kitu hiko ni haramu au hakifai. Sijui kama unanielewa na hiyo mihemko yako ya mapicha
 
Wala si jambo la kujikingia kifua mkuu, kwamba una video hizo nyingi. Kubwa ni kwamba waislamu na uislamu ni vitu viwili tofauti kubwa ni ule uhusiano wao kama dini na wafuasi. Mfuasi wakati wowote anaweza kukengeuka na kufuata matamanio ya nafsi, lakini hilo halibadili kipengele cha msimamo wa dini kwamba kitu hiko ni haramu au hakifai. Sijui kama unanielewa na hiyo mihemko yako ya mapicha
Hawez aka kuelewa
 
Msimamo wa watawala wa Saudia usibadili mtizamo wa dini ya uislamu kwasababu Saudia ndio kitovu chake, uislamu kwa msimamo wake bado ni dini safi na itabaki kuwa hivyo mpaka kiama kinasimama.

Nyie mnaohamisha mjadala kuachs kuijadili Saudia badala yake mnaleta matusi katika uislamu muishie hapo tafadhali rudini kwenye mada, Saudia na Israel ni ndugu kwasabu wanatekeleza mipango yao chini ya bwana mkubwa US
 
Wala si jambo la kujikingia kifua mkuu, kwamba una video hizo nyingi. Kubwa ni kwamba waislamu na uislamu ni vitu viwili tofauti kubwa ni ule uhusiano wao kama dini na wafuasi. Mfuasi wakati wowote anaweza kukengeuka na kufuata matamanio ya nafsi, lakini hilo halibadili kipengele cha msimamo wa dini kwamba kitu hiko ni haramu au hakifai. Sijui kama unanielewa na hiyo mihemko yako ya mapicha
Hahahahahhaahah mkumbushie kaka hata wafuasi wa ukristo wa Anglican wanafunganisha ndoa za uasherati lakin biblia haijaruhusu.
Asa je atasema ukristo ndio umefanya ama matashi ya wafuasi???
Umemmaliza.
 
With support of Saudi Arabia
9/11 Was an inside job done by the then G,W, Bush jr administration, it was a well planed "controlled demolition" of the towers to usher in an invasion of Afghanistan for Americans arms industries to sell their stockpilled weapons.
 
Back
Top Bottom