Maombi ya kazi za afisa maendeleo ya jamii

Maombi ya kazi za afisa maendeleo ya jamii

kijanamdogo

JF-Expert Member
Joined
Feb 25, 2018
Posts
231
Reaction score
177
NATAFUTA kazi kwenye mashirika yasiyo ya kiserikali .Elimu yangu Nina DIGRII ya Maendeleo ya Jamii
 
Ungejaribu kazi za mtendaji mkuu maana si ndo fani yenu na naona zinatangazwa kila siku na ni nyingi ila NGO pagumu maana wanachukuaga wale wa INTERN ko tafuta ukaanza piga INTERN wakikuelewa wanakupa kazi mazima.Kila la kheri mheshimiwa.
 
Ungejaribu kazi za mtendaji mkuu maana si ndo fani yenu na naona zinatangazwa kila siku na ni nyingi ila NGO pagumu maana wanachukuaga wale wa INTERN ko tafuta ukaanza piga INTERN wakikuelewa wanakupa kazi mazima.Kila la kheri mheshimiwa.
Nafasi za mtendaji mwisho kuwachukua ni diploma
 
Ungejaribu kazi za mtendaji mkuu maana si ndo fani yenu na naona zinatangazwa kila siku na ni nyingi ila NGO pagumu maana wanachukuaga wale wa INTERN ko tafuta ukaanza piga INTERN wakikuelewa wanakupa kazi mazima.Kila la kheri mheshimiwa.
Ushauri mzuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom