Hiyo ndo ilitokea siku moja lkn alijikuta anakula visu 102 upande wa kushoto mwa kifua chake, na mahakamani nikashinda,, kwahiyo wakiona namba za gari hii wajalibu tu,, watajua Mrs Tanzania wa 1901
Msamehe kutoka moyoni kwa Yale aliokufanyia, huenda Allah alikuwa na sababu wewe kupewa hicho kipimo lkn timiza wajibu na weledi wa ofisi, na usikubari kupindisha sheria kwasbbu wataumia wengi baada ya Mwenye vigezo visivyositaili kuboronga, ebu fata kiapo chako kinasemaje
Jamani, mtulia eti kichaa, faruu ndugai anapikia gesi, na lulu tena eti kaonekana Uganda jamani, mbona wale walioenda kumuona mbowe walimkuta dada wa watu amejikalia tu segerea
Mm nawatakia pasaka njema,
Mh raisi wetu mpendwa
Kamanda sirro
Paulo makonda
Mohammed dewij
Tulia akison
Alexander mnyeti
Tito mhando na wengine wenye ugeni huu wa pasaka
Hao watu ni shida nyingine na hiyo ndege pesa yake iliolipwa labda ana masilahi nayo,, kwahiyo na hapo ndo ujiulize kwamba kati ya lisu na serikali yetu ni nani Mwenye Nia mbaya na kodi zetu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.