MGILEADI
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,621
- 1,545
Sawa na wewe umenisaidia asante! Kweli kazi ipo!Kama unamaanisha yule chui anaeruka unakosea Mkuu,
Ukiweka kituo cha Sinza Kijiweni muweke mtu siti ya nyuma kama vioo ni vya tinted ili akodolee macho kwenye readings kisha wewe jifanye kuangalia pembeni upande mwengine,
Huyo jamaa wa siti ya nyuma atakupa mrejesho.
hivyo niligeuka ghafla mwenyeji mpaka kukutana na mikasa hiyo