Hii kitu kuna watu wameweka mitaji yao hapo wanataka kupata mpunga sio kama tunavofikilia sasa chanjo waliotengeneza watapeleka wapi lazima watumie akili
Yaani hata duniani sijui tulikuja kufanya nini yaani unazaliwa unakufa halafu uende kuishi milele sasa kwanini tusiende moja kwa moja mbinguni duniani tunakuja kufanya nini hasa?
Sasa kama ilikua unapiganae story ulishindwa vipi kumtongoza yaani hapo ilididi ufunguke mwenyewe angekupa namba bila hata kumuomba sijui ulikwama wapi sasa una 1% ya kukubaliwa
Kuna mawili labda ni kweli au uongo mara nyingi demu akishakuona kweli unataka kumuoa wanakua wagumu kutoa mzigo yaani yupo tayari kumpa mtu mwingine lakini sio wewe
Hakuna anaeanguka kwa mapepo ni katika harakati za kutaka mkono uende kinywani sasa tajiri ataitaji mkwanja mrefu iyo ndo sababu kwanini matajiri hawaanguki mapepo
Siku zote usioe mwanamke mzuri ili uonekane unajua kuchagua utajuta hao wazuri wao wanaangalia tu upepo unatoka wapi unaenda wapi niwachache sana wenye mapenzi ya kweli
Ni kweli bora aendelee tu kula na awe na taimingi apate hata mtaji wake kisha asepe akifanya tofauti na hapo atafanyiwa visa na huyo shemeji yake mpaka atajuta kumjua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.