Huwa unaona wapi mkuu?Jamani sijawahi kuona Mzungu ua Msabato akianguka mapepo.
Kwanini wanao anguka mapepo ni Wakatoliki, Waislam, na Waprotestant, Waafrika (dini za asili) na Waarabu lakini Wazungu hawapandishi Wala kuangushwa mapepo?
Hata viongozi wa kisiasa na kiserikali hawaanguki mapepo, Kuna siri gani?
Emmanuel tv au arise and shine?