UBASHIRI: Mechi ya watani wa jadi, Simba na Yanga Mei 8, 2021

Hii mechi Simba atampiga Yanga zaidi ya goli 2.
Yanga si pisi ya Simba,hili linafahamikaga siku zote.
 
Manara ana over confidence,kuelekea Kariakoo derby kila interview ya Haji namuona anaushindi wa Simba mkononi.

Namsikiliza Haji hapa sports extra anaunguruma kama Simba wa mwituni.
 
Manara ana over confidence,kuelekea Kariakoo derby kila interview ya Haji namuona anaushindi wa Simba mkononi.

Namsikiliza Haji hapa sports extra anaunguruma kama Simba wa mwituni.
Atacheza namba ngapi?
 
Mbona nimeandika hapo chini bashiri kulingana na ubora wa timu shindanii sio mapenzi na ushabikii
Kwa hyo wote tuwe na jicho moja kwamba simba iko bora itashinda? Basi ungeenda kwenye group lenu la wasap kila mmoja ana namna yake ya kuanalyse mambo
 
Kuzingatia Umuhimu wa game, ari, mazingira ya kimchezo hususani makao ya klabu hizo, mbinu, na hata utayari wa mchezo huo nje na ndani ya uwanja sambamba na nani hana cha kupoteza.
Natabiri hapa.
SIMBA 1 2 YANGA
Wafungaji kwa Simba natabiri mfungaji anaweza kuwa beki au kiungo
Ila kwa yanga ni KIUNGO na mshambuliaji.
pole sana mkuu
 
Back
Top Bottom