NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Hii mechi Simba atampiga Yanga zaidi ya goli 2.
Yanga si pisi ya Simba,hili linafahamikaga siku zote.
Yanga si pisi ya Simba,hili linafahamikaga siku zote.
Mara ya mwisho kumfunga Yanga Ligi kuu ni lini?Mkuu usipanick bwana ni namna tu kikosi cha simba kilivyo bora kila mtu anajua simba itashinda kilichobaki ni ushabiki tu
Kesho ana cheza?Manara ana over confidence,kuelekea Kariakoo derby kila interview ya Haji namuona anaushindi wa Simba mkononi.
Namsikiliza Haji hapa sports extra anaunguruma kama Simba wa mwituni.
Atacheza namba ngapi?Manara ana over confidence,kuelekea Kariakoo derby kila interview ya Haji namuona anaushindi wa Simba mkononi.
Namsikiliza Haji hapa sports extra anaunguruma kama Simba wa mwituni.
Anasema akimcheza yeye na Calinyos namba moja,kalicho afui dafu kwake atamuweka benchi pamoja na yeye Haji kuwa na kitambi na over age.Atacheza namba ngapi?
Anasema anogopa kwenda uwanjani jinsi timu ya legend Baba yake itakavyofanywa na timu yake yeye kama kijana wa mzee.Kesho ana cheza?
Kwa hyo wote tuwe na jicho moja kwamba simba iko bora itashinda? Basi ungeenda kwenye group lenu la wasap kila mmoja ana namna yake ya kuanalyse mamboMbona nimeandika hapo chini bashiri kulingana na ubora wa timu shindanii sio mapenzi na ushabikii
pole sana mkuuKuzingatia Umuhimu wa game, ari, mazingira ya kimchezo hususani makao ya klabu hizo, mbinu, na hata utayari wa mchezo huo nje na ndani ya uwanja sambamba na nani hana cha kupoteza.
Natabiri hapa.
SIMBA 1 2 YANGA
Wafungaji kwa Simba natabiri mfungaji anaweza kuwa beki au kiungo
Ila kwa yanga ni KIUNGO na mshambuliaji.