Mtoa maada maelezo yako ni mazuri ila mm sjui ntakuwa nimektelewa tofauti, ilatu inabidi nikuurize swali.
je kuringana na maelezo yako kuhusu ngassa. unaimani kwamba akienderea kubaki yanga hawatachukua tena ubingwaa? au akitoka yanga na ubingwa utalejea jangwani?
Ukiona hadi makoye matale anaipa hongera azam ujue kazi imekwisha maana namjua yeye ni yanga damdam hadi jina lake ukiritamka yani kiyanga yanga. msimtanie kupitia huu ujumbe maana anamaumivu huyu ni mtani wangu mm.
Mcc hawatafanya lolote maana hata kaka zao walishachemka tatizo wanakula sana bidhaa kutoka kwetu azam wangekuwa wanatumia azania. wana AZAM wote mikonojuuuuuuu uuuuu
uuuuuuuu! ukitoa tusi haimaanishi kuacha kombe ninamnatu ya ushangiriaji kwa azam.
Wote mrio changia maoni yenu mmetumia busara saana tena tukienda na mfumo huu nawengine wataiga. Ila sio kama wale wanao changia matusi, huu ni ukrasa wa burudani sio matus langu ni hilotu.
Mchele 1kg 1200
Nyama robo 1000
Jumla ni 2200
Toa 1000
Unapata 1200
Hii kaipata wapi?
Viungo yawezekana virikuwepo
kama kakopa kwa jirani aseme mapema ili aman irejee.
Nashindwa kuelewa nini maana ya kuweka maada mezani maana mi najua m2 anapoweka maada lengo lake jamii ielewe kuhusu ki2frani/kuelimishana.
Cha ajabu sasa na kinachonishangaza zaidi wanajamii wenzangu,
Tunaponza kujibu Wengine wanajibu matusi
Wengine majibu yao haya husiani na maada...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.