Wanarudi kwenye seat yao ya kusimama.
Liverpool v Man city
Acha kuongea ki statistics wakati Arsenal ndo bingwavmwaka huu. Hiyo ni history tu. mambo uwanjani
ila kweli!Hahahaha! Asenane bana mnachekesha mkuu kwani hujaizoega timu yako? Kazi ya Asenane ni kushikilia nafasi za wanaume kwa muda, baadae hupisha nakuachia wanaume nafasi zao, naona asaiv mnachuana na everton kugombea nafasi ya nne ila nakupa pole Everton wanahasira hao jiandae tu kuwapisha ukagombee nafasi ya 7 na Manure...!!
Hii ndo mechi itakayosema nani anapata Tittle.
malimbuken bwana!,hamjazoea kukaa kilelen ktk msimamo maneno mengi,njie ongozen kwa baiskeli wa miti kabla wenye nafasi yao( man u) kukalia kiti.