CleaOS
JF-Expert Member
- Jan 15, 2013
- 260
- 108
Malinzi, wala usijibu upuuzi huu. Anze kuwauliza akina Kaburu kama wamerudisha kadi zao za Simba ili wafanye kazi TFF. Nani asiyejua kuwa viongozi wa TFF wana timu zao hasa Yanga na Simba. Issue ni kufanya kazi kwa manufaa ya nchi/TFF na wala isiwe kwa maslahi ya timu fulani.
Mawaziri wote au karibu wote wana kadi za CCM na kazi za serikali zinaendelea.
Ubarikiwe kwa jibu lako la kipuuzi maana sijakuhuliza wewe!!