mkolaj
JF-Expert Member
- Mar 24, 2014
- 3,023
- 1,092
Vp wewe mbona unatuletea ukoloni hapa peleka kule kwenye thread ya liverpoolLiverpool 3-2 man city Full time
Vp wewe mbona unatuletea ukoloni hapa peleka kule kwenye thread ya liverpoolLiverpool 3-2 man city Full time
duh.azam hatimaye anachukua ubingwa safari hii😀
Wakishinda mechi yao ya.mezan watafikisha point 55cos mechi ya mwisho wanakutana na mnyama hilo nalo ni la kuzingatia alafu mabingwa wapya wanakuta na jkt ruvu nazan unajua kitakachotokea,ok tufanya mmemfunga mnyama na leo jumla mtakuwa mmefikisha point 61 na mabingwa wapya wakishinda game ya mwisho watafikisha point 62 who is champ!Kumbukeni Yanga ina Match ya Mezani ...Ile match kiporo ya Yanga na JKT Mgambo rufaa bado
Haitasaidia...Kumbukeni Yanga ina Match ya Mezani ...Ile match kiporo ya Yanga na JKT Mgambo rufaa bado
Ma-Liver yameua 3 - 2! Naona kwa kasi hii ubingwa unanukia Anfield
uko sahihi kaka manake ile goli inaonyesha kuwa refarii amekula mpunga wa bahressaLile goli la pili lile....pochi la Bakhresa lime husika.
Labda mpunga wa manji wameuzoea hahahaa kk mkubali tu yaishe Azam anastahil kuwa bingwa mwaka huu,ondoa mawazo mgando Yanga anashinda saba,mara 5 hilo la mpunga amlioni!uko sahihi kaka manake ile goli inaonyesha kuwa refarii amekula mpunga wa bahressa
hongereni Mlungula FC nyie si wakwanza. alikuja Mtibwa akabeba ubingwa mara mbili, sasa yuko dhoofu bin hali. alikuja Moro United pia, sasa sijui yuko wapi
Haitasaidia...
Nitaishangaa sana timu yangu ya Yanga kama itang'ang'ani hii rufaa ya huyu mchezaji anayeitwa Mohamed Neto...
Mbona mechi ya kwanza na Mgambo tuliwafunga na huyu mchezaji alicheza lakini Yanga hatukuibua tuhuma hizi?...
Wakati mwingine tukubali tu kushindwa wakuu...Kama Tukuyu Stars, Coastal Union na Mtibwa waliweza kuchukua Ubingwa wa Tanzania Bara, why not Azam FC?...
Yanga tumeshindwa ubingwa kwa uzembe wetu wenyewe...
Hongera sana Azam..
Haitasaidia...
Nitaishangaa sana timu yangu ya Yanga kama itang'ang'ani hii rufaa ya huyu mchezaji anayeitwa Mohamed Neto...
Mbona mechi ya kwanza na Mgambo tuliwafunga na huyu mchezaji alicheza lakini Yanga hatukuibua tuhuma hizi?...
Wakati mwingine tukubali tu kushindwa wakuu...Kama Tukuyu Stars, Coastal Union na Mtibwa waliweza kuchukua Ubingwa wa Tanzania Bara, why not Azam FC?...
Yanga tumeshindwa ubingwa kwa uzembe wetu wenyewe...
Hongera sana Azam..
Ukiona hadi makoye matale anaipa hongera azam ujue kazi imekwisha maana namjua yeye ni yanga damdam hadi jina lake ukiritamka yani kiyanga yanga. msimtanie kupitia huu ujumbe maana anamaumivu huyu ni mtani wangu mm.
Mkuu sina maumivu hata kidogo, ingekuwa Simba amechukua hakika nisingelala. Sisi tumeshinda, wao wamefungwa, roho kwatu. Azam wakaze uzi klabu bingwa mwakani.