Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Umeonae makoye matale leo sjui alikuwa anaumwa maana simuoni maana Azam alikuwa anafikiri Azania pole sana makoye.
 
Timu ya Yanga imefungwa goli 2 kwa 1 na timu inayoshuka daraja JKT Mgambo wakati Azam ikiifunga Simba 2 kwa 1.
 
Nikiripoti toka mbeya uwanja wa sokoine, mechi kati ya mcc na prison mimi ni ndomyana wa jf,. Ila nandika huku nabubujikwa machozi,. Mgambo wameniliza
 
Okwi kacheza na pia Mgambo mchezaji wao mmoja alitolewa kwa kadi nyekundu kipindi cha kwanza .hivyo Mgambo wameifunga Yanga wakiwa pungufu.
 
Uwanja wa Taifa kwa mara ya kwanza ktk historia ya soka la Bongo mashabiki wa Yanga leo walikuwa wanaishabikia Simba.
 
Uwanja wa Taifa kwa mara ya kwanza ktk historia ya soka la Bongo mashabiki wa Yanga leo walikuwa wanaishabikia Simba.

wameingia choo cha kike leo ilikuwa lazima tuwaachie ndg zetu azam ili mayebo wakose ubingwa wana ngebe sana na huyo kibaraka wao Rage
 
Mwaka huu bingwa Azam na Mshindi wa pili ni Mbeya City.Yanga hawana chao na Okwi ,Ngasa,Kiiza,Twite.Manji hoyeee
 
Ligi ya Tanzania haishi vituko.Eti refa wa Yanga na Mgambo Alex Mahiga kalazimisha kumsachi mchezaji Mohamed Neto wa Mgambo alipokataa akampa kadi ya njano na mzozo ulipoendelea akampa kadi ya pili ya njano na kumtoa nje.
 
Back
Top Bottom