Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

Updates: VodaCom Premier League 2009/2010

TIMU GANI ITAKUWA BINGWA WA LIGI KUU TANZANIA BARA(Vodacom Premier League)


  • Total voters
    72
  • Poll closed .
Nimesikia sana hizi tetesi za timu kama Azam naYanga kutoa mzigo katika mechi zao za mwisho,lakini hivi ni kweli

unaweza kutoa pesa timu yenye uwezo mdogo iifunge timu yenye uwezo mkubwa?..Nadhani mwenye nafasi ni yule

anaetoa dau ili timu yake ishinde Yanga haina sababu ya kupoteza pesa ilichemka yenyewe kushindwa kumfunga Azam na

kufungwa na mgambo imuache tu Azam achukue ubingwa kama kwa halali au kwa kuhonga shauli yake ijipange msimu

ujao.

Kwa namna hongo inavyotembea sitoshangaa Mbeya City akifungwa kiurahisi na Azam.
 
Nimesikia sana hizi tetesi za timu kama Azam naYanga kutoa mzigo katika mechi zao za mwisho,lakini hivi ni kweli

unaweza kutoa pesa timu yenye uwezo mdogo iifunge timu yenye uwezo mkubwa?..Nadhani mwenye nafasi ni yule

anaetoa dau ili timu yake ishinde Yanga haina sababu ya kupoteza pesa ilichemka yenyewe kushindwa kumfunga Azam na

kufungwa na mgambo imuache tu Azam achukue ubingwa kama kwa halali au kwa kuhonga shauli yake ijipange msimu

ujao.

Kwa namna hongo inavyotembea sitoshangaa Mbeya City akifungwa kiurahisi na Azam.

Na hayo ndo yaliyotokea kwa Mgambo , mechi hz zilizobaki wajanja wanacheza mno nje ya kiwanja , ni rahisi timu tajiri kushinda kulingana na bajeti ya timu zetu
 
Any way mkuu,angalau msimu huu umekuwa na ushindani wa ubingwa.

Ni kweli kabisa ila kwa ulaya leo barca kagongwa na granada , ligi zote naona zinafanana tu , kila timu inaombea mwenzie afungwe , wadhamini wajitokeze kwa hz timu ndogo pia , ili ziwe na nguvu ligi itakuwa na ushindani sana.
 
azam msimu huu wapo sawa sana na hii idea ya kuhonga inaonekana ndio janja ya simba na yanga hata kipindi cha nyuma azam wakikaza gemu ya kwanza ya pili unasikia kafungwa ila toka omog kaingia upuuzi huo haupo kabisa..
acheni tubebe ndoo na sherehe itakuwa tamu sana kesho.. ila mcc wapo poa sana
 
azam msimu huu wapo sawa sana na hii idea ya kuhonga inaonekana ndio janja ya simba na yanga hata kipindi cha nyuma azam wakikaza gemu ya kwanza ya pili unasikia kafungwa ila toka omog kaingia upuuzi huo haupo kabisa..
acheni tubebe ndoo na sherehe itakuwa tamu sana kesho.. ila mcc wapo poa sana

Hongera mkuu,mwaka wenu huu.
 
Ni kweli kabisa ila kwa ulaya leo barca kagongwa na granada , ligi zote naona zinafanana tu , kila timu inaombea mwenzie afungwe , wadhamini wajitokeze kwa hz timu ndogo pia , ili ziwe na nguvu ligi itakuwa na ushindani sana.

Duuu!Barca ameniangusha.
 
Wote mrio changia maoni yenu mmetumia busara saana tena tukienda na mfumo huu nawengine wataiga. Ila sio kama wale wanao changia matusi, huu ni ukrasa wa burudani sio matus langu ni hilotu.
 
Zamu ya azam kubeba ndooo! Mie mbeya city damu lakini hatuna cha kupoteza biti la nafasi ya tatu linatosha msimu huu. Chukua mpunga wa azam manake simba na yanga mwaka huu likizo time!!!
 
Zamu ya azam kubeba ndooo! Mie mbeya city damu lakini hatuna cha kupoteza biti la nafasi ya tatu linatosha msimu huu. Chukua mpunga wa azam manake simba na yanga mwaka huu likizo time!!!

Tatizo mashabiki sijui kama watakubaliana na matokeo ya kufungwa leo , maana wanahisi city kishachukua hela za Azam.
 
Kusema azam haitwai ubingwa leo,ni sawa na kubet eti mzee akilimali hatoropoka tena.
 
Gemu inayotolewa macho sana ni hii ya azam fc na mcc pale sokoine mbeya ni noma sana..

MSIMAMO LIGI KUU BARA
# Team. MP P
1 Azam 25 59
2 Young Africans 25 55
3 Mbeya City. 25 46
4 Simba 25 37
5 Kagera Sugar 24 34

UFUNGAJI.
1. Amis Tambwe magoli 19
2 . Kipre Tchetche magoli 14 3.Mrisho Ngassa magoli 12
Hamis Kizza magoli 12
4 . Didier Kavumbagu magoli 11
more updates to follow.
Team Today
AISHI MANULA
ERASTO NYONI
GADIEL MICHAEL
SAID MORADI
AGGREY MORIS
BOLOU MICHAEL
HIMID MAO
SALUM ABUBAKAR
GAUDENCE MWAIKIMBA
JOHN BOCCO
KIPRE TCHETCHE
SUBS
MWADINI ALI
DAVID MWANTIKA
JABIR AZIZ
KHAMIS MCHA
MUDATHIR YAHYA
KELVIN FRIDAY
BRIAN UMONY

Updates
************
azam fc 2 - 1 mcc
oljoro 1 - 2 yanga
ashanti 1 - 0 simba

Bingwaaa mpya..
 
Gemu inayotolewa macho sana ni hii ya azam fc na mcc pale sokoine mbeya ni noma sana..

MSIMAMO LIGI KUU BARA
# Team. MP P
1 Azam 24 56
2 Young Africans 24 52
3 Mbeya City. 24 46
4 Simba 24 37
5 Kagera Sugar 24 34

UFUNGAJI.
1. Amis Tambwe magoli 19
2 . Kipre Tchetche magoli 14 3.Mrisho Ngassa magoli 12
Hamis Kizza magoli 12
4 . Didier Kavumbagu magoli 11
more updates to follow.

Azam hana jinsi leo, kutoshinda ni kuhatarisha ubingwa. CC. ndetichia Kitoabu & Co. PLC.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale watakao kua mbali na sokoine mbeya na azam tv, ndomyana pamoja na wadau wengine tutakua hewani, karibu tujumuike.

Kiukweli hadi sasa mji umechangamka wana mbeya wanausubiri huu mchezo, japo hali ya hewa kama hairidhishi mvua inatishia,. K

karibuni wadau muone azam anakabidhiwa ndoo au laa,.



Ht mcc 0-azam 1
 
Back
Top Bottom