Nyakwec's Bro
JF-Expert Member
- Apr 27, 2012
- 820
- 174
Nimesikia sana hizi tetesi za timu kama Azam naYanga kutoa mzigo katika mechi zao za mwisho,lakini hivi ni kweli
unaweza kutoa pesa timu yenye uwezo mdogo iifunge timu yenye uwezo mkubwa?..Nadhani mwenye nafasi ni yule
anaetoa dau ili timu yake ishinde Yanga haina sababu ya kupoteza pesa ilichemka yenyewe kushindwa kumfunga Azam na
kufungwa na mgambo imuache tu Azam achukue ubingwa kama kwa halali au kwa kuhonga shauli yake ijipange msimu
ujao.
Kwa namna hongo inavyotembea sitoshangaa Mbeya City akifungwa kiurahisi na Azam.
unaweza kutoa pesa timu yenye uwezo mdogo iifunge timu yenye uwezo mkubwa?..Nadhani mwenye nafasi ni yule
anaetoa dau ili timu yake ishinde Yanga haina sababu ya kupoteza pesa ilichemka yenyewe kushindwa kumfunga Azam na
kufungwa na mgambo imuache tu Azam achukue ubingwa kama kwa halali au kwa kuhonga shauli yake ijipange msimu
ujao.
Kwa namna hongo inavyotembea sitoshangaa Mbeya City akifungwa kiurahisi na Azam.