Recent content by Jumababu

  1. Jumababu

    Babu yangu Salum Abdallah na Frederick Mchauru katika mgomo wa wafanyakazi wa Tanganyika railways Tabora 1947

    Yupo wapi kwa sasa Mzee Frederick Mchauru? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. Jumababu

    Yupo Mfanyakazi wa 1391, hamtaki tu kumtaja

    Angekuwa kiongozi Mkuu ni Dau . Angeshatbiliwa bila hata kujua nani atakaiumu nafasi yake.
  3. Jumababu

    Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

    Ningependa kujua baada ya Dr. Dau (MM) . Wakurugenzi wengine wote ni dini gani? Je waislam ni wangapi kwenye Hilo kundi? Pia mifuko mingine nako tujiulize swali Kama hilo.
  4. Jumababu

    Ukweli kuhusu Dr. Dau na NSSF

    Ndugu umesema sahihi kabisa. Mimi na wadanyakazi wenzangu mwezi wa 10 tumelipwa mafao ndani ya siku 10 bila kuchelewesha. Maana kampuni Yetu ilikufa. Kwanini watu wanapenda sana kusema uongo? Una faida gani?
  5. Jumababu

    Nahitaji azam tv king'amuzi na dishi lake

    Tajeni bei basi
  6. Jumababu

    Waziri January Makamba katika kashfa nzito ya kifisadi

    Hawa wapumbavu wanaowadhalilisha waswahili hapa wanakaa kwenye miji ya waswahili . Kama kweli mnawachukia na kuwatusi waswahili rudini makwenu.
  7. Jumababu

    Nahitaji azam tv king'amuzi na dishi lake

    Semeni bei namimi nahitaji moja.
  8. Jumababu

    Ajali mbaya Dar yachukua uhai wa Kelvin Kavishe (Kaloosh)

    Nimekufaham wewe ni nani? Ile scandal ilikuwa noma.
  9. Jumababu

    Drone, Nyambizi za Iran zapiga picha manowari ya US

    Hapana Mkuu hicho ni kigezo cha kuifanya marekani itaweza kuipiga Iran. Ukizingatia marekani na Iraq walishindwa kumpiga Iran.
  10. Jumababu

    Drone, Nyambizi za Iran zapiga picha manowari ya US

    Kaka unashinda kufaham wakati Iran inapigana na Iraq . Marekani ilikuwa inaisaidia Iraq kwa hali na mali.
  11. Jumababu

    Simu ipi ni nzuri?

    Shukran Mkuu , Nimekukubali uko vizuri sana.
  12. Jumababu

    Simu ipi ni nzuri?

    Chief-Mkwawa nimewahi kutumia 3G,3GS,4,4s,5 na 5s baada ya hapo nikahamia android HTC M8 najiona nimekosa vitu fulani hivi ndo najikongoja nirudi apple tena.
  13. Jumababu

    Simu ipi ni nzuri?

    Chief-Mkwawa nini maoni/mawazo yako kuhusu iPhone 6s? Nahitaji kuinunua hiyo kakangu.
  14. Jumababu

    Ni vita baridi kati ya Kikwete na Magufuli

    Upuuzi mtupu Nyerere alimtaka Mwinyi? Mwinyi alimtaka Mkapa? Mkapa alimtaka Kikwete? Kikwete alimtaka JPM? Uvivu wa kufikiri tu hii ni nchi sio nyumba ya mtu.
  15. Jumababu

    Hapa Arusha wako wapi watu ambao walikuwa au wanaompenda Lowassa?

    MUSSA ALLAN mbona siioni hiyo Gari ? Njoo kwenye hii Audi Q7 hapa nyeusi.
Back
Top Bottom