Recent content by juma mpenda

  1. J

    Mchanganuo wa Biashara (Business Plan) - REQUESTS

    Naomba msaada WA kuisoma na kuijua hii bussinees plan ipoje naomba nitumiwe nione jinsi ilivyo mwenye nayo
  2. J

    Mchungaji Gwajima: Daudi Albert Bashite alipata division Zero

    Kuhusiana na makonda juuu ya vyeti feki ni hoja isiyo na mashiko ...KWA MTU uliyesoma huwezi kupoteza mda kulizungumzia ilo nyie mmemuona makonda tu ila jua ni weng wenye vyeti ambavyo sio vyao wengi snaaa KWA io kuhusu wala sio kitu mim naona ni sawa na wadada vyuoni ambao wanatoa rushwa ya...
  3. J

    Bondia nguli..Mohammad ali

    Wanajamii habari zenu naomba kma kuna anayemfahamu vilivyo huyu bondia Mohammad Ali KWA nin alibadilisha dini ni kitu GANI kilichomsababisha kutoka kwenye jina lake alilopewa na wazazi wake(Cassius Marcellus) adi kuitwa Mohammad Ali...kulikoni...tofauti na hawa wengne kama Tyson ni muhuni sio...
  4. J

    Tatizo la uume kusimama usingizini

    Habari wana jamiii Naombeni msaada maana hili tatizo nililonalo limekuwa sugu sasa. Ni kwamba uume wangu umekuwa ukisimama pindi nipo usingizini ila nikishtuka hiyo hali inapotea ghafla. Nikiwa usingizini najijua kuwa nimesimamisha hadi kulala huwa napata tabu. Huwa nashindwa hata kujigeuza...
  5. J

    Majina yameshakabidhiwa, tupeane mrejesho, nani kakamatwa mpaka sasa

    Na wataokamatwa ni WATU wadogo kma mim na wew tunaotumwa tufikishe mzigo somewhere BAs...dagaaa kumezwa samaki mkubwa
  6. J

    Majina yameshakabidhiwa, tupeane mrejesho, nani kakamatwa mpaka sasa

    Acha kupoteza muda wako serikali sio lengo lao kumkamata MTU wana lengo lao lingne na sio hili tufikilialo mim na wew lahasha...kma ingekua ivo wahusika wanafahamika wote MBNA ..hawakamati..KWA io sio kweri.,.
  7. J

    Natafuta kazi za procurement and supply management

    Namba yangu 0629102208 au 0654320392
  8. J

    Natafuta kazi za procurement and supply management

    KWA kweri nimefanya kazi tofauti totauti nyng ndugu APA TIGO mtwara nimekua kastama kea muda WA miezi sita kisha nikawa area supervisor
  9. J

    Eti, Mzungu ana akili kuliko Mwafrica?

    Hui ni ulinganishi hafifu wazungu kweri nasema wana akili snaa sababu wao mambo mengi wameshayafanya KWA io hawawazi kula .kuzaa .kuendesha magari wala kuvaa KWA io hawana msongo WA maisha kma nliokua NAyO mim abdallah mambo meng cjafanya ,,,!!!! Unafkil ntakua na Akil zaid ya kuwaza...
  10. J

    Natafuta kazi za procurement and supply management

    Naitwa abdallah Mpenda natafuta kaz idara ya manunuz na utunzaj na usambazaj nna GPA ya 4.38 kutoka chuo cha cbe KWA ngaz ya diploma .naomben mnsaidie wadau
  11. J

    Mtoto wa kiume kuwa na tabia ya kususa, kurevenge, kinyongo imekaaje?

    Nyie wanawake ni washenzi snaaa mnakela snaa mnauz pia mkikaziwa ndo mnajifanya mwanaume hasusi ila kususa kupo weZ mlazimisha MTU afanye vile mnataka kma MTU hajataka ....
  12. J

    Bukoba vs Moshi

    Huuu sosho jamii aliyetengeneza kapatia snaaa nainjoi snaaa
  13. J

    Bukoba vs Moshi

    Ni vzur nmependa kila mkoa ukawa na picha zake za mji kma ulivyopigwa huuu yan ni safiii napenda SNA kufraia mandhari tofaut tofaut
Back
Top Bottom