Msi mubali kudangaywa kwa kupewa hongo ili kumchagua kiongozi fulani.hakikisha unamchagua kiongozi bora mwenye sifa na mwenye uchungu na nchi yake .na mwenye kutaka maendeleo ya nchi yetu na watanzani wote bila kubagua wa kujali kabila fulani wa dini.usi mchaguwe kiongozi mwenye kupenda kula...
Mazingira yanapo kuwa bora. Ya ufugaji kamwe huwezi shindwa kumla bata ambae ulimfuga kwa maandalizi bora kwakujua yakwamba nitegemeo lako kumla baadae
Kweli ubabe na majibu mabovu na uchafu na ubaguzi wa familia kwa baadhi ya wake zetu guwabagua mama zetu. Nimajambo makubwa sana yanayo tuudhi wanaume tuliyo wengi kabisa.
Safi sana kwa kweli mungu akipenda tutafika katika makusudio ulo jiwekea kwa maendeleo Ya nchi na watanzania kwaujumla mweshimiwa rais hadi saaa hii tangu ashike madaraka anaendesha nchi vizuri sana namuobea mungu amuwezeshe kukamilisha ahadi zetu alizo ahidi. amin
voda com wapo vizuri .siwatetei .ila huduma zao ninzuri.japokuwa upo wizi mdogo.ilaukiwafuata.kimakini hautaibiwa.mimi nipo voda com.sasa yapata miyaka kumi natano.bado sijaibiwa kwakiwango hicho.ilapale panapo kuwa.nashida zamawasiliano.kimtandao ndipo saliyo huenda kombo.tofauti...
minapitatuuuuuu.ila mdada yupo sahihi ukizingatia alivyo jielezeea .na jirani pia kajitahidi kubainisha. ispokuwa miyaka nayo humdhoo fesha mtu mzima. wengi wao wameathirika kwangiri kwao nitatizo kubwa.kuna aina ya vyakula ukivila unakuwa mkali sana kwatendohilo. na kunabaadhi ya kinadada wao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.