JOMI
Senior Member
- Oct 9, 2012
- 144
- 118
Wadau poleni na majukumu na uchovu wa xmass mwenye kujua ghalama za vipimo vya DNA na taratibu zake anisaidie kujua maana nahisi nimechakachuliwa naitaka nijue kama nalea watoto wangu au wa jirani maana haya maneno ya mkemia mkuu yamenifanya nifunguke kutaka kujua