Kwa ujumla, nyanda za juu kusini zina potentials zifuatazo, ambazo ni muhimu sana kwa ukuaji wa uchumi wa nchi.
1) Kilimo (Mazao ya Biashara)
-Chai (Njombe, Mufindi, Rungwe)
-Kahawa (Rungwe, Mbinga, Mbozi
-Pamba (Chunya)
-Kakao (Kyela)
-Tumbaku (Chunya, Kilolo, Sumbawanga)
-Pareto (Mufindi...