sihitaji kuolewa je ni tatizo?

Status
Not open for further replies.
Sasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
 
dia unapenda sana uolewe na ndo maana umeleta hapa hii mada, punguza hasira za maumivu ya moyo, 30 yrs upo bado kwenye line, nakushauri upunguze heart break ideas...jione wa thaman
 
yote ni mipango ya mungu..kama hujapangiwa kuolewa hutaolewa..ka hujapangiwa kua na mtoto hutopata...ungeweza kua umeolewa saivi ukawa una matatizo unatamani ungekua hujaolewa...so vitu vingine wala usifikiri unavimiss maana hujui huko baadae umepangiwa nini na Mola
 
dia unapenda sana uolewe na ndo maana umeleta hapa hii mada, punguza hasira za maumivu ya moyo, 30 yrs upo bado kwenye line, nakushauri upunguze heart break ideas...jione wa thaman

Naungana na wewe ,dada Latifaa anapenda kuolewa lakini imetokea kuwa hajapata mtu wa kumuoa katika wakati aliokuwa nataka yeye na akafikia hatua ya kujiona kama ashakuwa mtu mzima sana.
pole dada hujakuwa mtu mzima kiasi hicho..usikate tamaa mapema kiasi hicho endelea kuomba, wakati wa MUNGU si wako utapata tu wakukuoa wala usijifungie milango ya baraka
 
Last edited by a moderator:
Mi mwenyewe sina mpango wa kuoa ila nataka mtoto so Ni-PM mama
 
mama kupanga ni kuchagua
Yupo aliyeandaliwa kwa ajili yako
usichoke katika kuomba mungu hachelewi wala hawawi
 
Mbona miaka 30 bado unalipa sana! Jichanganye dada acha kujifungia ndani na kuomba. Wapo wengi wanahitaji wanawake wa kuoa.
 
Kama una nia ya kupata mume jitahidi kuomba utapata lakini kujipa moyo nitazaa watoto si vizuri. Mama yangu mdogo alikuwa na mawazo kama yako kweli alipata mabinti wawili, wa kwanza amezaa na baba yangu ambaye ni shemejie anatumia jina la babu wa pili ana miaka 25 hatujui amezaa na nani ila anatumia jina la ukoo masawe huyu dada hamjui baba yake kuna wakati huwa anaumia sana kwa kutomjua baba yake akiuliza mama anasema si nimekusomesha shida yako nini wangapi wana baba hawajasomeshwa.
 
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!

Amini nakwambia, kwa hiki ulichoandika, utaolewa na utabadili jina humu JF na hutotuambia!, tulia muda bado upo!
 
miaka 30 ni wakati mzuri wa kuolewa...upo matured zaidi na unaweza kuhimili mikikimikiki mingi
 
ni maamuzi mazuri kama utasimamia mtazamo huo. Shida tu ni kwa wale wanaotamani tena kuolewa bahada ya kujiapiza kama wewe na wakati umeshapita.

Mimi niliolewa na miaka 29 na sikuwahi kujiapiza kuwa sitakuja kuolwa na sikuwahi fikiri wala kusumbuliwa na mtu kuwa kwa nini siolewi kwani nilikuwa kwenye serious relationship for 4 years na ndiye mume wangu kwa sasa.

Sasa usijesema hutaki kuolewa kwa kuwa umekata tamaa; kwani maneno uumba. Miaka 30 ni umri muafaka wa kuolewa na wala hujachelewa kihivyo ila unafall kwa wrong men ungekuwa na wanaume husband material ungekuwa na mtazamo tofauti na huu.
"maneno yanaumba" hizo ni semi tuu za kuwaliwaza watu na kuwaonya na kuwafariji, toka nimejinenea kuolewa ni 10 zyrs sasa
 
nimelelewa maisha ya dini na
nina mheshimu mungu nina maadili na heshima ila ninachokiamini sio lazima
kila unachoomba upate, dmndio maana maisha yametofautiana matajiri na
maskini sio kwamba maskini hawaombi nao pia wanaomba ila ndio hivyo, sio lazima kila bidada aolewe

Maneno yako yanaonyesha umekata tamaa na pia unawasilisha ujumbe jamvini kuwa milango iko wazi ila kwa staili ambayo inawashtua wengi. Kwangu naona we mwongo kwani itakuwaje hupendi wanaume halafu unataka kuzaa watoto 2. Je hao watoto unataka kuzaa na mnyama gani?. Mi kwangu wewe ni NATAKA SITAKI TU?

Na kama kweli hupendi mume basi unaye spiritua husband bila kujua ambaye ana resist wanaume wengine ndani yako.
 
Sasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
nitazaa na boydfr wangu, nanimeshamueleza kama anapenda kuoa atafute mchumba aoe mimi anipe
watoto tuu asepe, sitamtenga na watoto wake ila kuishi nae ndio mwiko
 
Sasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
hapo kwenye red king'ast, unamaanisha chief kiumbe au? kwikwikwi!
 
Maneno yako yanaonyesha umekata tamaa na pia unawasilisha ujumbe jamvini kuwa milango iko wazi ila kwa staili ambayo inawashtua wengi. Kwangu naona we mwongo kwani itakuwaje hupendi wanaume halafu unataka kuzaa watoto 2. Je hao watoto unataka kuzaa na mnyama gani?. Mi kwangu wewe ni NATAKA SITAKI TU?

Na kama kweli hupendi mume basi unaye spiritua husband bila kujua ambaye ana resist wanaume wengine ndani yako.
shindwa! Spiritual hsb? Sina madude hayo mie, nshakueleza nina bf, ila kuolewa sitaki kuzaa nae tuu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom