kwahiyo kama sina ndoa na kizazi pia sina? Kuzaa dumuhimu
Tatizo kubwa, kwa nini usiolewe kama uko sawa?
dia unapenda sana uolewe na ndo maana umeleta hapa hii mada, punguza hasira za maumivu ya moyo, 30 yrs upo bado kwenye line, nakushauri upunguze heart break ideas...jione wa thaman
nimetimiza miaka 30 sasa, huko nyuma nilitamani sana kuolewa nanilikuwa namlilia mungu sana anijalie nipate mume bora hiyo ndio ilikua
dua yangu kubwa kwa mungu, imekua bahati mbaya sijaolewa wala kuchumbiwa na mwanaume yeyote nimeishia kurubuniwa na kutapekliwa, nilitamani sana niwe na mume wangjt nimthani na kumjali ila baha ti ni mbaya sijabahatika.
Any way 4 sasa nimekua mtu mzima nimepata akili nimepitia mengi na nimejifunza mengi nanimetafakas4ri kwa kina n.ifmegundua sio kila unalolipanga kwenye maisha yako lazima ulipate hata ukimwomba mungu mengine inabidi usacrifise, japo utavumilia masengenyo kutoka kwenye jamii na mitazamo hasi kwa ndugu hata wazazi.
Leo hii nimekua mtu mzima sitamani kuolewa tena wala sivutiwi na ndoa yoyote hata mwanaume wa kuishi em3.
Napenda kuwa na watoto wawili nakupambana na däisha bila kujali baba yao atakua nani..
Nayafurahia maisha yangu na maamuzi yangu kuliko zamani nilivyokua nahitaji kuolewa najiona nimeshakua
mama nanina familia isiyokua na baba ninafuraha sana naninamshukuru mungu kila kukicha.
Sipendi kuolewa na sivutiwi na kuolewa wala ndoa sihitag!
"maneno yanaumba" hizo ni semi tuu za kuwaliwaza watu na kuwaonya na kuwafariji, toka nimejinenea kuolewa ni 10 zyrs sasani maamuzi mazuri kama utasimamia mtazamo huo. Shida tu ni kwa wale wanaotamani tena kuolewa bahada ya kujiapiza kama wewe na wakati umeshapita.
Mimi niliolewa na miaka 29 na sikuwahi kujiapiza kuwa sitakuja kuolwa na sikuwahi fikiri wala kusumbuliwa na mtu kuwa kwa nini siolewi kwani nilikuwa kwenye serious relationship for 4 years na ndiye mume wangu kwa sasa.
Sasa usijesema hutaki kuolewa kwa kuwa umekata tamaa; kwani maneno uumba. Miaka 30 ni umri muafaka wa kuolewa na wala hujachelewa kihivyo ila unafall kwa wrong men ungekuwa na wanaume husband material ungekuwa na mtazamo tofauti na huu.
nimelelewa maisha ya dini na
nina mheshimu mungu nina maadili na heshima ila ninachokiamini sio lazima
kila unachoomba upate, dmndio maana maisha yametofautiana matajiri na
maskini sio kwamba maskini hawaombi nao pia wanaomba ila ndio hivyo, sio lazima kila bidada aolewe
nitazaa na boydfr wangu, nanimeshamueleza kama anapenda kuoa atafute mchumba aoe mimi anipeSasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
hapo kwenye red king'ast, unamaanisha chief kiumbe au? kwikwikwi!Sasa utazaa na nani? Manake vijana wanataka kuoa. Kama ni mume wa mtu hakikisha unabaka mwenye possibility ya kukuoa japo mke wa 7 manake siku hizi wamama wakali hawasusi ndoa wala nini! Ndio nyie unazaa na mume wa mtu afu unamsaka mkewe unamuelezea!
Una tatizo wewe aisee, ongea na wakubwa wako...
shindwa! Spiritual hsb? Sina madude hayo mie, nshakueleza nina bf, ila kuolewa sitaki kuzaa nae tuuManeno yako yanaonyesha umekata tamaa na pia unawasilisha ujumbe jamvini kuwa milango iko wazi ila kwa staili ambayo inawashtua wengi. Kwangu naona we mwongo kwani itakuwaje hupendi wanaume halafu unataka kuzaa watoto 2. Je hao watoto unataka kuzaa na mnyama gani?. Mi kwangu wewe ni NATAKA SITAKI TU?
Na kama kweli hupendi mume basi unaye spiritua husband bila kujua ambaye ana resist wanaume wengine ndani yako.