Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Napinga sehemu ya malipo ya Lema...

Vikwazo yuko sahihi kabisa, Mhe. Lema hapaswi kulipwa fedha ambazo si stahili yake kwa sasa. Mfano mtumishi hawezi kudai hela ya posho (per diem) for instance pale anaporejeshwa kazini eti kwa kuwa tu ilikuwa imepangwa aende safari ya kikazi kabla hajasimamishwa!! Lema akipokea fedha hizo naye atakuwa ameliibia taifa kama mafisadi wengine tu!! Hatuwezi kuwa na double standards kwa kuwa tunampenda Lema au tunamchukia Chenge...
 
Nakubaliana kwamba Lema alipwe malimbikizo ya mshahara wake yanafikia Sh18.4 milion, hii ni haki pekee kwa Lema, sikupaliana kwamba kama mtu umesimamishwa wazifa wako basi umma uendelee kukulipa pesa bila kuutumikia.

Umepinga karibu kila kinacholipwa kwamba analipwa kwa kazi gani?
Je na huo mshahara alupwe kwa kazi gani?
 
Nakubaliana kwamba Lema alipwe malimbikizo ya mshahara wake yanafikia Sh18.4 milion, hii ni haki pekee kwa Lema, sikupaliana kwamba kama mtu umesimamishwa wazifa wako basi umma uendelee kukulipa pesa bila kuutumikia.

Umepinga karibu kila kinacholipwa kwamba analipwa kwa kazi gani?
Je na huo mshahara alupwe kwa kazi gani?

soma HEADING ya post tu inakujibu swali lako, mshahara ni haki ya mtu hasa anaposimamishwa kisha kurudi kazini, posho utolewa ili ufanyekazi furani au kurahisisha utendaji wa kazi yako,
na ndio maana posho zote zina majina ( hayo majibu ni ya msingi kabisa sio holela)
Posho ya mafuta kwa miezi nane, je lema aliendesha gari kufanya kazi ya ubunge kwa miezi nane iliyopita regardless ya amri ya mahakama? ( if yes, then unamuweka lema kitanzini tena) Posho hiyo ni ya mafuta kwa ajili ya mbunge akiwa jmbo kwake kulizungukiwa jimbo,
Posho ya jimbo [ hii inaweza kuwa debatable kidogo ] lakini ukweli unabaki pale pale kwa hii sio pocket money ya mbunge kwa mambo yake.
Mshahara ni pesa ya matumizi yake, hiyo ni haki yake kutumia anavyotaka, hakuna hoja juu ya mshahara wake.
Kumbaka unapomtetea lema unatetea na mafisadi wengini mamia wanalipwa hizi pesa za kihuni
 
Wivu mwingine bana....inabidi achukue fedha tote ili awatendee haki wale wote ambao haki zao zilikuwa zimecheleweshwa. Inabidi atumie mafuta kwa mfululizo bila likizo ili ajenge imani upya na watu wake ikiwa ni pamoja na kulinda kura zake kwa kutimiza ahadi alizowaahidi watu......aaaghhhh

Of course lazima ni na wivu wa maendeleo kama bandari imetushinda, yet tuna malipo ya ovyoo ovyoo kama haya.
Kwenye RED regea majukumu ya mbunge, bado anaweza kuyatekeleza bila hizo posho za nyuma, ni ahadi gani hizo anyway? sio hizi ya kusimamia serikali? mbona tunajichanganya, mbunge sio mfadhili wa jimbo
 
Hili swala ni la msingi tuweke ushabiki wa kichama pembeni,hili ni jasho letu ndo linatumika vibaya hapa kutokana na hizi sheria mbovu wanazotunga wao wenyewe kwa manufaa yao wenyewe.smh
 
Lema kama anauchungu na Wananchi wake asichukue hizi pesa achukue mshahara wake tu hizo pesa nyingine ziende kwenye miradi mingine ya maendeleo hapa atakuwa ameenda haki kwa Wananchi wake waliomchagua na kumpigania
 
mzee kama kweli unauchungu na hii nchi huna haja ya kupiga kelele kwa ajili ya milioni 80,kwanza ni haki yake kisheria,pili ni vijisenti uki compare na mabilioni yanayoibiwa kila siku na serikali ya ccm,kuna mafisadi hapo kwenye serikali wanaiba mabilioni waziwazi,sasa mzee hebu anza na hao wezi ukimaliza rudi kwa lema


CTRL + Q to Enable/Disable GoPhoto.it
 
Kwa hali ya kawaida tu kuna pesa (allownaces) ambazo hastahili kulipwa, lakini bunge lina sheria na kanuni zake amabazo zinatumika kunyumbulisha hii makitu!
 
...Hoja ya msingi ni MALIPO YA LEMA YANAONYESHA UDHAIFU WA MFUMO WETU.

.....
mwenzio analipwa kulingana na kanuni, sheria na taratibu za bunge na ndo maana hadi leo hakuna mbunge aliyetokeza kupinga hayo malipo, je wewe umetumia sheria, kanuni na taratibu gani, za kutoka wapi? Kabla ya kupinga hayo malipo ulipaswa kutuletea ushahidi uliojitoshereza ili tukuunge mkono
 
Kuna watu wamelala, kila kitu kwao ni siasa hata yasio ya kisiasa kisa umejata vipenzi vyao, nimesema nchi kwanza, hatuwezi kuendelea kwa kubeba/kutetea mifumo mibovu kama hii. nimepata experience ya vinchi viwili-vitatu hakuna matumizi ya kijinga kama haya, haki ya lema ni mshahara tu

Hii ndio Tanzania yetu hii, posho ni mara 4 ya mshahara, ujanja wa kizamani unaweka mshahara chini ili kwa wale wasiofuatilia waamini hivyo kwamba ni mshahara wa chini alafu unamrundikia posho mara 4 ya ule mshahara (bonge ya ratio , salary against allowance), bora zote hizo wangeziita mshahara tu angalau TRA wachukue PAYE kuliko kudanganya.

Kuna haja ya kureview hii kitu kwani haingii akilini kuwapa 2.5 million alafu hawaonekani majimboni na mbaya zaidi hakuna auditing ya yametumikaje, kwa wale waliofanya kazi za field na gari kama land cruiser ambayo inakula 180 litres (tank zote 2) utagundua hizo ni hela nyingi sana maana ukijaza tank zote hizo unapiga field work ya nguvu mno na unamaliza jimbo lote kwa hayo mafuta tu na kiukweli kazi ya mbunge si kuzunguuka zunguuka sana (anakwenda kwa ratiba). At least wangepata 1.5 plus iangaliwe kilometre zilizotembea against mafuta yaliyotumika.

Kwa mtaji huu ndio maana hawa jamaa wengi wakipewa wizara wanashindwa kuziendesha kwa kuwa wanapewa posho ambazo haziwaumizi kichwa ku-verify matumizi yake, mwisho wa siku wanakosa practical experience ya kufuatilia matumizi mbalimbali wapewapo wizara kwa kuwa wamezoea kumwagiwa hela nyingi ambazo hawaumizi kichwa ya namna ya kutumia
 
VIKWAZO Mtoa hoja una point nzuri. Ila ulichosahau hizi sheria zimewekwa na CCM kuwa vile kuwa akili ya CCM ni ya ubinafsi kiasi kwamba wanafikiri kuwa kila sheria ipo kwa ajili ya manual yao . Kwa akili yao walitegemea kuwa wapinzani watakuwa ndiyo watakuwa wanapinga matokeo ya uchaguzi kutokana rafu zao , hivyo hiyo sheria ilikuwa pale kuhakikisha hawapotezi kitu . Ufisadi mtupu.
 
Last edited by a moderator:
kisheria
mahakama inapo kurudisha kwenye kazi yako uwe mbunge au mfanyakazi mwingine
ni kuwa ulistahili kuwepo kazini kwa muda wote uliokuwa nje
kwa hio lazima alipwe stahiki zake zote na fidia juu
hiyo ni sheria na ni lazima alipwe
soma sheria ya ajira na mahusiano kazini
soma pia hukumu ya lema.

labda cha kuhoji hapa ni mafao makubwa wanayopewa wabunge
bila kukatwa kodi na fedha hizo hazionekanai majimboni

Ndicho ninachopinga, malipo kama haya hapana kama yapo yaondolewe, watu walipwe mishahara yao tu
 
kabla ya hayo malalamishi jiulize kulikuwa na haja gani ya kusimamisha lema ubunge. vile vile lema anaprogram za jimbo lake alikuwa amejiwekea kutekeleza ni lazima azimalize kwa hiyo mipango hiyo atatumia fedha hiyo kutekeleza /to match the program set already. hiyo sio pesa ya kula ugali na mkewe. haujajuwa kipindi alichokuwa sio mbunge alishaona mbali atashinda kwa hiyo baadhi ya program nyingine alikuwa anatumia fedha yake zikawa zinaenda.punde apatapo fedha atakamilisha.shida hiyo walalamikie wanafiki wa ccm,mahakama za ccm zinasababisha hizi hasara nyingi.na lisiwe hili la lema tu pigana vita na mengine mengi ili pesa ya wanyonge isitumike ovyo.vile vile rasilimali za nchi ni pesa lia nazo.
 
mwenzio analipwa kulingana na kanuni, sheria na taratibu za bunge na ndo maana hadi leo hakuna mbunge aliyetokeza kupinga hayo malipo, je wewe umetumia sheria, kanuni na taratibu gani, za kutoka wapi? Kabla ya kupinga hayo malipo ulipaswa kutuletea ushahidi uliojitoshereza ili tukuunge mkono

Bluu : Nikifunga gani kinasema kwamba anayepashwa kupinga haya malipo lazima awe mbunge ( maana unataka sheria zifuatwe)
Red : Nimetumia haki yangu kama mwananchi kupinga matumizi mabaya ya kodi kama anavyofanya mwananchi mwenzangu Dr Slaa.
 
kisheria
mahakama inapo kurudisha kwenye kazi yako uwe mbunge au mfanyakazi mwingine
ni kuwa ulistahili kuwepo kazini kwa muda wote uliokuwa nje
kwa hio lazima alipwe stahiki zake zote na fidia juu
hiyo ni sheria na ni lazima alipwe
soma sheria ya ajira na mahusiano kazini
soma pia hukumu ya lema.

labda cha kuhoji hapa ni mafao makubwa wanayopewa wabunge
bila kukatwa kodi na fedha hizo hazionekanai majimboni

Hapa cha kuhoji ni hiyi posho yote, nashindwa kuelewa tunakwama wapi hizo posho ziko wazi yaani POSHO YA MAFUTA, POSHO YA JIMBO,
sasa tunashinda kuelewa nini kwamba hiyo ni hela ya mafuta anapokuwa ofisini? akuwa ofisini kwa miezi minane tunapa mafuta ya miezi minane iliyopita? usahihi huko wapi? au inakuwa sahihi kwa sababu ni sheria zilizosimamiwa na ccm hivyo tunufaike tu, sasa swali ZAMA ya UFISADI ni ipi?
 
kabla ya hayo malalamishi jiulize kulikuwa na haja gani ya kusimamisha lema ubunge. vile vile lema anaprogram za jimbo lake alikuwa amejiwekea kutekeleza ni lazima azimalize kwa hiyo mipango hiyo atatumia fedha hiyo kutekeleza /to match the program set already. hiyo sio pesa ya kula ugali na mkewe. haujajuwa kipindi alichokuwa sio mbunge alishaona mbali atashinda kwa hiyo baadhi ya program nyingine alikuwa anatumia fedha yake zikawa zinaenda.punde apatapo fedha atakamilisha.shida hiyo walalamikie wanafiki wa ccm,mahakama za ccm zinasababisha hizi hasara nyingi.na lisiwe hili la lema tu pigana vita na mengine mengi ili pesa ya wanyonge isitumike ovyo.vile vile rasilimali za nchi ni pesa lia nazo.

Fungua THREAD ya ilo swali,
Kuna hela ya kutosha ya mafuta ataanza kupewa kuanzia sasa, lakini pia katika zama hii ya sayansi na technology hasa kwa Arusha mjini ni kweli anaitaji 20milion za mafuta plus posho inayo resume ya mafuta?
Kumbe hii ni hela ya nyumba sio ya kuanzi sasa, kwa sasa atapewa milioni 2.5 kwa mwezi kwa mwafuta,
 
Mtoa hoja una point nzuri. Ila ulichosahau hizi sheria zimewekwa na CCM kuwa vile kuwa akili ya CCM ni ya ubinafsi kiasi kwamba wanafikiri kuwa kila sheria ipo kwa ajili ya manual yao . Kwa akili yao walitegemea kuwa wapinzani watakuwa ndiyo watakuwa wanapinga matokeo ya uchaguzi kutokana rafu zao , hivyo hiyo sheria ilikuwa pale kuhakikisha hawapotezi kitu . Ufisadi mtupu.
Ndio maana namshawishi LEMA naye sijiunge kwenye huo ubinafsi kwa kuchukua hayo malipo ya posho
 
VIKWAZO Kwanza CHADEMA kinapinga posho so yeye achukue Salary tu then hizo posho azipotezee, maana salary ni haki yake lazima alipwe kwani kwa kila Mtumishi wa Umma(co Wabunge pekee) anaposhinda kesi yake Mahakamani hulipwa stahili zake zote za Mishahara kwa kipindi ambacho alikuwa kasimamishwa kazi kwa ajili ya kesi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom