Recent content by Julius Kessy

  1. Julius Kessy

    Wapewa talaka kwa kuunga mkono CCM Zanzibar

    Wakaolewe na mabachelor wa ccm
  2. Julius Kessy

    Wabunge wa CHADEMA hawajafanya jambo la busara

    Huna akili mtoa post empty box
  3. Julius Kessy

    Kwa hili! Magufuli ushindi ni saa 4 asubuhi

    Huo ndio uhalisia wewe utafiti upi ulifanya ukajua ccm INA members million 8??? Unapingana na mwenyekiti na Katibu mkuu wa Ccm je wewe ni nani ndani ya ccm
  4. Julius Kessy

    Kwa hili! Magufuli ushindi ni saa 4 asubuhi

    Ccm wana permanent members 6.7million nchi nzima na Lowassa kaondoka na zaidi ya 2.5 million members je wanashawishijee waliobakiii kwa kipi walichofanya??? Ccm ni chama cha viongozi sio maskini ambao kimsingi ndio wengi kama hujui Hesabu usifanye siasa
  5. Julius Kessy

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    DW Berlin ndio source
  6. Julius Kessy

    Paul Kagame umeongea ukweli hataki unafiki!

    Hamna hoja acheni ujinga Kagame is Right to the maximum in Tanzania we preach for democracy but we don't practice it at all..so let him express his feelings coz Africans we are one blood
  7. Julius Kessy

    Mgao wa umeme ukiendelea, Simbachawene kutoteuliwa Cabinet ya Magufuli!

    Tatizo la umeme sio la Waziri ni ufisadi katika sekta yote ya Umeme na Nishatii kabisa so mfumo ni uozooo mtupu
  8. Julius Kessy

    Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

    Ivi wewe unaesema Lowassa amejinyea akili yako ipo matakoni au wapi aisee mbona unaongea jambo usilolijua as if ulikua nae mda huo???? Remember this world is more stronger than you.. The time is coming and you must confess that sin
  9. Julius Kessy

    Edward Lowassa ahaha kuhakikisha Julius Kalanga (CHADEMA) anapita bila kupingwa Monduli

    Nani kasema wamasai wanawaaminii wanawakee Endapo angepataa ni kwa heshima ya mzee tu nasio tofauti
  10. Julius Kessy

    Taharuki ya kushindwa vibaya kwa CCM yatanda kwa makada wake

    Ccm ni ukoo wa panya na huwezifunika shimo la panya kwa kipande cha mkate..
  11. Julius Kessy

    TANESCO, mgao huu una sababu gani tena?

    Hakika ni Tanzania tu hili jambo la hovyo lawezafanyika
  12. Julius Kessy

    Raia wa Tanzania nchini Marekani watuma ujumbe

    Raia wengi walioppo mtoni ni watoto wa vigogo na family za ccm so in most cases they cant be positive to changes *** them out we have already decided
  13. Julius Kessy

    Hawa ndio Wafadhili wakuu wa CHADEMA ambao Mbowe hataki kuwataja hadharani

    Vyovyote vile your lier coz umesema Mbowe na Lowassa ndio wanawajua hao wafadhili je wewe ni kati ya Lowassa na Mbowe???? Propaganda hizo ccm must go
Back
Top Bottom