Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Picha: Lowassa ahani msiba wa Peter Kisumo

Mshukuru Mungu kwa afya uliyo nayo na wala usiringe kuwa ni kwa nguvu zako wala kwa chochote ulicho nacho na wala usimdharau mtu yoyote ambaye ana madhaifu au magonjwa yake hakupenda kuwa hivyo na kama unamuhesabu kuw ani mgonjwa mwache Mungu achukue maamuzi yake usimhukumu wewe

Ubarikiwe sana
 
Ivi wewe unaesema Lowassa amejinyea akili yako ipo matakoni au wapi aisee mbona unaongea jambo usilolijua as if ulikua nae mda huo???? Remember this world is more stronger than you.. The time is coming and you must confess that sin
 
Ndiyo kama alikwenda ,weka picha.Kwanza hata kwenye mazishi ya Mtoi hakwenda,kweli Lowasa anapenda matajiri tu ,Rais wa matajiri huyu kamwe hatashinda
Umeanza lini kuwa na uchungu na mtoi wewe mnafiki ?
 
Ngoja nikwambie wewe mimi nikifikia mahali ambapo naumwa mpaka najinyea siwezi kutumia nguvu nyingi kuwaaminisha watu kwamba mimi ni mzima bali nitakubali kuwa mimi ni mgonjwa na kutulia nyumbani kujiuguza mpaka siku ya mwisho!

Hivi wagonjwa si wako hospitalini jmn? Mbn Lowasa yuko health, happy kabisa anatembea vzr tu nyie mmekazana mgonjwa mgonjwa. Mkamateni basi mumpeleke hosptali. Maana wapo waliosema kama ww siku chache tu wametangulia mbele ya haki wamemuacha.chunga mdomo wako usiuponze kichwa.
 
Hizi akili zinafanana na za yule Katibu mkuu wenu. Nadhani ulimsikia leo. Utadhani mmemteua leo hii kutoka Hargaesa!!! Hivi kumbe aliye uwa viwanda Arusha ni CHADEMA?

Eti katibu mkuu wa ccm analamika viwanda vimekufa Arusha. ccm ni wajinga wanaofundisha watu ujinga.
 
Siasa za kinafiki mbaya sana kashindwa kwenda kumzika Mohamedi Mtoi wala kuhani unakwenda kuuza sura kwenye misiba ya watu maarufu.

Siku zile ccm si walimzuia kwa kuogopa watakavyonyanyapaliwa mbele ya umati kny mazishi?
 
Last edited by a moderator:
Kwa nguvu kubwa ya kupendwa alionao Lowassa nadhani huwa mnalala mkimuombea afe. Lkn binadaamu sio mungu. Na kwa jinsi ccm walivyo nahela chafu za kuhonga mm nadhani mngemtafuta mungu kwa gharama yeyote mumtoe Lowassa duniani.
 
Kikwete alimkataza asiende msibani....nikimfikiriaga kikwete si mmalizag ase
 
kapanda milima yote hiyo bt stl wapuuz wanasema ana afya mbovu
 
Back
Top Bottom