ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 8,076
- 17,463
Sasa hao waliosema wanaenda kufuatilia watafuatilia nini sasa?!
Mpaka mwanamke amefikia hatua ya kukukaidi na kukupinga wazi wazi, kuna tatizo kubwa zaidi ya itikadiza vyama. Kiutamaduni hili ni kosa.
Na kwa jinsi wanawake hawa wanavyokuwaga na kejeli na mdomo si ajabu walifanya hivyo hata kwa waume zao badala ya kutumia hekima ya mwanamke.
Mpaka mwanamke amefikia hatua ya kukukaidi na kukupinga wazi wazi, kuna tatizo kubwa zaidi ya itikadiza vyama. Kiutamaduni hili ni kosa.
Na kwa jinsi wanawake hawa wanavyokuwaga na kejeli na mdomo si ajabu walifanya hivyo hata kwa waume zao badala ya kutumia hekima ya mwanamke.