Nafurahi Watanzania tunaanza kuona wakosaji wa nchi na ukweli mnauweka wazi vizuri sana. Kwa namna hii nchi itasonga mbele maana tunaambiana ukweli,matokeo yake tutaheshimu nchi na maamuzi mazuri yatafanywa.
Let's be obvious Russian at the moment is at war with Islamic State so anything can happen. Islamic State are good in interfering so, don't rule out them. Russian may pretend to cover it out but in the long run we shall have the truth.
Please Tanzania first and any other business later. Utakuwa ujinga usio na kichwa wala macho kuruhusu makaa ya mawe yatoke South Africa na sisi tuna kiwanda cha kutoa product hiyo hiyo na ya kufanya Nazi hiyo hiyo. Tufunge kiwanda chetu na tufukuze wafanyakazi Wa kiwanda hicho ila kiwanda cha...
Kama siku zote wanasema Tanganyika na Zanzibar in kitu kimoja sasa tudaiyana kisiwa vipi na sisi ni nchi moja? Ndugu mheshimiwa rais ebu wapuunze hao maana wana nia mbaya na wakizidi kamata wrote weka ndani maana wanataka kutuletea hadithi za kijinga.
Mimi nashauri mazungumzo yafanyike na sababu za kufanya bandari ipungukiwe mizigo serikali ielezwe na hatua zichukuliwe. Siyo kulaumu kama ninyi si watanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.