Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

Ndege ya Urusi imepotea kwenye rada

So sad it's just a week ago we learned that Russian ambassador was assassinated in Turkey atujakaa sawa Ili nalo linatokea dah . Mungu awape pumziko la milele makamanda wote .
 
Ndiyo. Kwa mimi naichukulia kama ajali nyingine, ingawa more than 50% ya ajali zote za ndege duniani zimegunduliwa kuwa ni makosa ya kibinaadamu Zaidi ya kiufundi. Na kwa mujibu wa habari za kuaminika, si mara ya kwanza kwa ndege hizo za kijeshi kufanya safari hizo za Syria kwa kuwa wana kituo chao cha kijeshi na mara zote huwa inasindikizwa na ndege mbili za kivita.

Mkuu ndio maana nimeongeza neno "UTANI" - lakini tusisahau kwamba Taifa la Urusi hivi sasa lina maadui wengi, mfano: Serikali ya Ukraine na nchi zote za Ulaya mashariki zilizokuwa chini ya himaya ya Urusi, Poland, kundi la ISIS/Daesh funded by Saudi Arabia ikishirikiana na Qatar na zamani Uturuki, Uingereza na Merikani.

Sochi hipo karibu sana na Black sea, Mataifa mengi yanayo pakana na Black sea are not in good terms na Urusi kwa kuchochewa na Mataifa yanayo hunda ushirika wa NATO - consenquently ni rahisi sana kupenyeza majasusi wa kufanya overt au covert hujuma dhidi ya Urusi kwa kushitukiza halafu wakakimbilia kujificha kwenye Mataifa hayo/kupata hifadhi au ku recruit raia wa Urusi ambao wanaishi mipakani kulisaliti Taifa lao - wamepania kujaribu kuiweka Urusi katika hali ngumu lakini njama hizo zitashindwa eventually and come Mid January Trump akisha shika usukani ndiyo kabisa hawezi ku support vukundi hivyo hatarishi kwa amani Dunia nzima.
 
Let's be obvious Russian at the moment is at war with Islamic State so anything can happen. Islamic State are good in interfering so, don't rule out them. Russian may pretend to cover it out but in the long run we shall have the truth.
 
Marekani atakuwa anahusika hapa, Urusi wanaandamwa sana juzi wamempoteza Balozi wake leo raia wake wamekufa! Uchunguzi ufanyike

Marekani bhana
 
Ramani ya mruko wa ndege toka Socchi kuelekea Bahari ya Black Sea Kwenda Syria pia Muonekano na muundo wa ndege ya Kirusi Tu-154
 
Acha ipotee....angepotea Putin ningefurahi sana,maana alichokifanya Aleppo sio ubinadamu.
 
Back
Top Bottom