Akizungumza wakati wa ibada maalum ya kuhitimisha mchakato wa kumtaka Mokiwa ajiuzulu leo, Askofu mkuu wa Anglikana nchini, Dk Jacob Chimeldya amesema leo ndio mwisho wa mchakato huo na watu warudi makanisani mwao kuendelea na huduma za kiroho.
Askofu Chimeledya ameonya kwamba chochote kitachoendelea baada ya ibada hiyo kitakuwa ni uvunjifu wa amani na kwamba ataviachia vyombo vya dola vifanye kazi yake.
Mwananchi
Askofu Chimeledya ameonya kwamba chochote kitachoendelea baada ya ibada hiyo kitakuwa ni uvunjifu wa amani na kwamba ataviachia vyombo vya dola vifanye kazi yake.
Mwananchi