Julius Kerenge
Member
- Mar 7, 2015
- 81
- 34
RIP Sir George mwana wa Tanganyika na mpenda ukweli. Tutakukumbuka sana lakini hatuna jinsi maana muumba ameamua.
Ahahaaaaa,, usiniue,, baada ya kushukuru mzee wako kuelimishwa umuhimu wa kahawa naye kukuachia urithi wa kutosha, unailauum ccm,, nikuulizeee hadi leo umefaidika vip na shamba hiloKatafuna sana wilaya yangu ya Karagwe!
Enzi hizo za vyama vya ushirika Mzee wangu alikuwa anavuna mpaka gunia 300 za kahawa mpka anakufa miaka ya 90 alimudu kununua baiskeli ya phonex basi! CCM Mungu anawaona..
Rudi kasome tena, inamaana elton john naye ni mwalimu?Sina Maelezo sana ya kutosha, lkn niliwai sikia title ya sir kapewa na Nyerere na yeye Ndio mtz wa kwanza kupewa title hiyo ijapo hakuwa Mwalimu kama wengi wanavodhan kuwa title ya u-sir anapewa mwl pekee
Wa hivi ni hatari sana mkuu. Ndo utakuta wakati nyinyi mkiomboleza yeye anakuwa busy na kubadirisha sahihi, majina na kila kitu kwenye mali za marehemu ili ziwe zake.Unawaza pesa tu
Chuo kikuu cha Ushirika ana jengo limepewa Jina Lake .Lecture Hall ipo Karibu kabisa na Hostel aliyeyokua akiishi aliyekua mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda au Daudi Albert Bashite.
Acha mkuu shamba mpk napata akili lilishakufa nimekuta pori baada ya Mzee kufa, zingatia alikuwa analiendesha kwa hasara zaidi ya miaka 40.Ahahaaaaa,, usiniue,, baada ya kushukuru mzee wako kuelimishwa umuhimu wa kahawa naye kukuachia urithi wa kutosha, unailauum ccm,, nikuulizeee hadi leo umefaidika vip na shamba hilo
Haha Sir Juma Nature nasikia alipewa iyo na title na Malikia baada ya kuweka historia ya kujaza Diamond JubileeSir Joji Kahama, Sir Juma Nature,walikuwa wawili tu Bongo,sasa amebaki Sir Juma Nature pekee
Kausha Mkuu tuko msibani ujue.Rip mzee, sikuwah kuifaham hist yako. Ila nimesoma Na kajuukuu kako kalikuwa kanagawa ni balaa,