Usiandike habari za kusadikika!! Na wale waliopata ajira na kupewa barua kabla ya kuripoti vituo vya kazi ajira zikasitishwa vp hao, matumaini yapo??? Muongozo mkuu
Kuna mdada kanijia asubuhi anataka ushauri eti kuna jamaa alimuahidi mtaji miezi mitano iliyopita akamwambia atampa milioni moja na nusu baadae akamwambia atamfungulia duka kwa madai yake anauwezo mkubwa tu.
Baadae akamwambie aage home anaenda kupanga ili ajisogeze kwa mshkaji msichana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.