yupo sawa milladayo kutokupost ivyo vituzo coz hata vyenyewe ni vya ajabu muno...toka lini chuchu hans akawa muigizaj bora wa kike wa mwaka kwa kipi alichofanya???? hazitofautiani na zile za kili awards...ndo maana wenye bongo fleva yao WCB hawakuzitambua...
dah kwel marekani kuna uhuru hadi raha yani izo mitus zimeandikwa kumuhusu rais na kawaida tu... ingekua kwa anko magu sahv mtu angekuwa segerea na sare kapewa.....
mkuu hujazurumiwa apo uyo wa kwanza kafanya physics we hujafany uyo wa pili kakupita c ya chem na uyo mwingine ana c ya bio....nacte wanaangalia cut off kwenye p c b plus engl na math na sio division..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.