Msaada: Ananipenda lakini hataki kunioa

Msaada: Ananipenda lakini hataki kunioa

muweke mungu mbele binadamu si msaada kwako
 
Unahisi akikuoa tatzo litaisha au itakua ndio furaha ya maisha yako?
 
Naona vijana wamechangamka kweli.....wanatangaza kuzalisha utadhani kulea wanaweza....
 
Huyo anakutumia tu. Achana nae. Na kabla ya kuanzisha mahusiano mengine kuwa wazi Kabisa kuwa una changamoto ya kupata mtoto. Utakutana na mtu atakaekupenda kwa dhati bila kujali hali uliyonayo
 
Umri wangu 30 ni mwanamke napendwa na huyu kaka lakini kunioa hataki ,tatizo ni mm sina uzazi.

Anataka kuoa mwanamke mwingine lakini kuniacha hataki na kuwa mchepuko sitaki .
Naomba ushauri wenu wauungwana

Hakupendi, ukipenda mtu utataman kuwa nawe mda wowote, hutamwacha awe na wasiwasi asijue hatima yake.
 
Usijidanganye anakupenda hakupendi ...angekupenda angekuoa bila kujali chochote....kwani upendo nini.,???...ukijua maana yke itakua bora zaidi..upendo haubagui.. anakutumia sasa wewe kaa tu hapo ukiona unapendwa huku umri unaenda anakupotezea mda huu mda ungeshapata mwingine ukute anayekupenda kweli...watu wanaoa vilema ..mtoto ht wa kuasili wapo who knows waweza pata miracle na ukazaa kaa subiri kuwa side chick..in short hakupendi
By the way huna kizazi kilitolewa au ??
 
NENDENI MKAFANYE IMPLANTATION MTAPATA WATOTO
Km kizazi hana implantation haiwezekani.
Labda mtoa mada atueleweshe vzr anavyosema hana kizaz anamaanisha nn...
Kukosa uwezo wa kuzaa si kutokua na kizazi....kizaz kinakuwepo kazaliwa nacho ila hakina uwezo wa kubeba mimba
Je km hana maana yake alitolewa baaada ya kupata tatizo fulani...
Sasa yeye cjui ni kundi lipi kati ya haya mana kiswahili watu kinawashinda
 
Back
Top Bottom