Habari ya asubuhi wapendwa wote,naamin mmeamka salama kabisa....nko na jambo hapa naomba msaada toka kwenu ktk kuplaniwa ni biashara gan nifanye kulingana na mtaji wangu nlionao na eneo nalo patikana pia,mm nko kigambon dar,nimeza save mtaji wangu hadi laki 6 bt kila mkiwata nawekeza vp pesa hii...