Sorry jamaa zangu Stand imesharudi Mjini TAFADHALINI SHUKENI STAND YA MKOA ni mjini kabisa hapo utapata usafiri wa kufika UDOM
Ila kwa mwaka huu sijui Registration ni nje ya UDOM maana kuna wakati
[*=1]Walifanyia Uwanja wa jamhuri baada ya Chuo kufungwa uokana na migomo
[*=1]Wakaja kufanyia uwanja wa Relways njia ya UDOM baada ya DUWASAsasa angalia Joining Instruction yako itakuonesha ni wapi pa kujisajiliHii Mada ilikuwa ya 2012 leo tupo Oktoba 2013
soccer vp viwanja vnatosha au?
hembu acheni kudanganyana udom ni chuo majengo!!! kama yule lecture wenu anayeitwa madam suzy anayekagua hadi viatu akija darasani badala ya kufundisha ...maji majanga ..usafir saa mbili hamna, walinz wanawakamata wanafunz kisa nguo fup au zimebana!!! udom kimepoteza cfa ni kama kampala international university(KIU).
Af we acha ujinga sa kama UDOM majengo mbona kuna wanafunz,malecture na wafanyakazi wa chuo mi naona wivu unakusumbua maana ukisikia UDOM unapata jazba na presha hhahhahahahahahahahahahahaha ....
Athuman Ramadhan Kanju > ILBOYZ
HIGH XL 2013
jamani mbona udom ex-ilborian (class
of 2013) niko peke yang-ina maana
hki chuo hamkipendi au imekuwaje!
6 hours ago
Like · Comment · Follow Post
Hide story
vp naxkia pale msd wanagawa mzigo bureee et kwel?
Af we acha ujinga sa kama UDOM majengo mbona kuna wanafunz,malecture na wafanyakazi wa chuo mi naona wivu unakusumbua maana ukisikia UDOM unapata jazba na presha hhahhahahahahahahahahahahaha ....