watanzania tuwe makini ili mwaka 2015 tuchague chama ambacho kitatuletea umoja wa kitaifa kuliko kuugawa kama chama hiki kinavyofanya sasa kupitia bungeni.
mmmh! Kuwen serious na matamko yenu jaman, ulisema utaweka picha ya mtalimbo lkn mpaka sasa hamna kitu. Kuwa mwelewa kaka na acha utoto utoto wako hapo.
kwanza mie ckutaraji matokeo yawe mazur hv kwan nilitegemea watafaulu 40 elfu tu nchi nzima kutokana na hali niliyoiona nikiwa Field ktk shule moja jijini dar es salaam....Labda wamefanya Standardization of marks, ndio maana wamefaulu.. Ila nimesikitishwa tu na kitendo cha wfz kufutiwa matokeo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.