Nenda posta iliyopo eneo ulilopo au ulipofungulia sanduku lako na ukiomba post code za eneo hilo utapata, post code ni muhimu sana ndio zitaelekeza mzigo ufikie wapi
Dah! Pole sana matumaini ya hiyo kirusi kuisha ni makubwa sana kwa sasa na wakati ujao, pia baadhi ya watumiaji wazuri wa ARV wameripotiwa kufubaza kirusi kwa asilimia 99.9
Hapo ni raia tu wanatakiwa wajitambue, hao watu huwa wanatoa 10% kwa wanaolinda usalama, dawa yao ni kuwachoma moto tu lasivyo wakazi watabia vilema na wengine kufa na kubaki na magonjwa
Kuna wakati unaweza kufikia hapo ulipo lkn nafikiri imetosha kumwachia uhai na hali yake hiyo ni maumivu kulikoni kifo, hapo alipo anatamani sana afe ila hana namna
Jinsi ya kumtawala mtu ambae alikua na uhuru, usimwondolee uhuru wake wote punguza kwa nyakati uhuru wa kitu kimoja kimoja.. Ili asipate tabu kuzoea mazingira ya utumwa. Someni historia ya Hitler alianza vipi kutawala taratibu sio tofauti sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.