King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,685
- 68,671
Ulaka,Komoni,Wanzuki,Mnazi ndio vinawachnganya.
Ndiyo maana. Simulizi kama hizi ni exclusive kwa sehemu kama hizo. Sayansi ya huko nitofauti kabisa na sayansi ya dunia hii.
Kwa hizi pombe lazima mpige stories za uongo😂
Angashi.Kuna hizi kazi Phoenix canariensisView attachment 1808456View attachment 1808457
Kwenye moyo unaenda mfupa au sumu yake?! Mfupa utasafirishwa vipi mpaka kwenye moyo?Wakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
Umeniwahi swaliMnakunywa pombe gani
Uko bar unatumia kinywaji ganiWakuu tupo katika club Cha pombe hapa tunapiga stori na wananchi wenzangu mdau mmoja kasema kwamba nyoka akifa ule uti wa mgongo ukibaki ardhini halafu ukachomwa Basi jua umepata majanga Kwani huo mfupa hauonekani kirahisi unaenda mbele haunaga reverse unaenda mpaka kwenye moyo ukikaa vibaya na pia Kuna uwezekano ukapata kansa kubwa..
Na mfupa wa samaki nako na wenyewe sio mzuri hasa ukikuchoma nafuu ukukabe katika shingo.mwiba mwingine hatari Ni wa katani.
Sio kweli mkuu. Nimeshuhudia mtu akinusurika kukatwa mguu huko Lugongo estates (Tanga) baada ya kuchomwa na mwiba wa katani na akachelewa kupata matibabu.Katani mwiba wake unawasha tu ila hauna madhara.
Nitampeleka Iringa akanywe pombe ya asali. Akinywa kikombe kimoja kidogo havuki barabara.Alafu mnakuja lalamika hamna connection...kumbe mnakaa kunywa komoni😀😀
Kuna kitu inaitwa wanzuki na mkangafu hiyo akipiga atafurahi.Nitampeleka Iringa akanywe pombe ya asali. Akinywa kikombe kimoja kidogo havuki barabara.
Iringa kuna aina 200 za pombe.
Hatari sana mkuuKuna kitu inaitwa wanzuki na mkangafu hiyo akipiga atafurahi.