God plan.
Kila mtu ameplaniwa na mungu namna atakavotoka kimaisha.
Hayo ya kuacha chuo achana nao
Kuna mwingine atakuambia AME acha Kazi ....
Amepata Kazi ndo kafanikiwa...
Etc.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nadhani wanaendeleza zile mada potofu
Kama Damping place for western goods is Africa.
Wakaifanyie majaribu Italy ama Spain
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpaka madam mmoja alianzisha ... Kwa wadada
Hakuna kuvaa nguo fupi wala suruali sas
Suma wakawa wanawarukisha kwata na kuwarudisha wakabairishe hahahhah
Social and humanities hahahhahha
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekaa miaka mi3 udom
Mambo yaliyokuwa yanafanyika sio vizur kuyatamka humu.
Emagine mpaka wanafikia kujenga msikiti ndani ya chuo ambacho si cha dini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Habar za leo
Samahan
Kuna siku mwalimu wa History alikuwa anatufundisha kuhusiana na Nyerere katika harakati za kudai uhuru.
Katk mafundisho yake alisema.
Kulikuwa na mkutano wa chama cha TANU huko Tabora, wakati wanajiandaa kuingia kwenye mkutano kuna mama mmoja alimwamuru Nyerere aoneshe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.