maukijunior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 232
- 371
Endelea endelea bado wako kwenye korosho hao na wengine kwenye maduka ya kubadili fedha ArushaWakuu
Nimejitokeza kwenu wataalamu wa haya mambo ili niweze achana na huyu mwanamke wa mwanajeshi kwa amani na usalama wangu
Ni kweli nimeshamgegeda na hapo awali sikujua kama ni mke wa mwanajeshi, baada ya kujua hivyo nimekuwa muoga sana, nimejawa hofu nikimueleza tusitishe mahusiano analia, ananibembeleza na kunipa penzi moto moto muda anaokuwa na nafasi
Hapa sina jinsi maana za mwizi ni 40, pia huyu mwanamke aliwahi niambia kuwa mumewe ni mtu hatari na katili sana hivyo tuwe makini na kuchepuka kwake kwani siku ikijulikana nitapata taabu sana au labda nihame hili jiji niache raha zote za jijini
Huyu mke wa mwanajeshi ananipenda sana, kaelewa penzi langu sana nikimuacha ataumia sana maisha, namsikitikia namuonea huruma pia
Naombeni ushauri, nikabiriane vipi na hii hali
Huyo ni mke wa mtu as long as hawajapeana talaka sasa mwenzio akifumuliwa malinda utaelewa kama jamaa ana ngumi za Chuma au za plasticSasa atafumua wangapi, maana kama mwanamke hakupendi ni hakupendi tu hata ukiwa na ngumi za chuma.
Wako bize na opereion za mze mkubwaStory za wake wa wanajeshi kucheat zimekua nyingi humu kulikoni wajeda tatizo ni nini?
hasa wanajeshi wa darKwaiyo unashauri vp, mwaume wa kweli lazima rinda unakufa nalo mkuuHivi unayapenda marinda yako kweli?!!!
Dagger kaulimbiu yetu ya YNWA soon utaisahau Kop
Basi temana na mke wa mwanaume mwenzio asee. Haipendezi kabisa unajua ni mke wa mtu alafu unafanya nae mazoea.Mkuu hii kauli haisahaliki kwa sisi kop majogoo wa jiji