Recent content by Joram kiango Jr

  1. Joram kiango Jr

    Umewahi kuwa na mpenzi 'hopeless' ambaye zaidi ya 'sex' hakuna kinachowaunganisha?

    Acha dharau mapenzi hayapo hivyo.,... Mapenz ni hisia don't underrate anybody in relationship km umempenda its ur duty to persuade her.... Inaonekana ww uliachwa au mahusiano hayakwenda vizul ndo ukaja na dharau za madarasa ya watu..... Kwa mtu mwenye upeo mkubwa n nidhamu anakuona km we ni...
  2. Joram kiango Jr

    Je, Lowassa angeweza kusimama masaa 2 kujibu maswali?

    Acha dharau wewe hii dunia hujafa hujaumbika.
  3. Joram kiango Jr

    Ninachokiona CCM kufikia 2020.

    Aiseeeee.....!!!!!! Yashafikia huku [emoji33][emoji33][emoji33][emoji33]
  4. Joram kiango Jr

    Ninachokiona CCM kufikia 2020.

    2020 utagundua watz walivyo wapuuzi na wabinafsi.
  5. Joram kiango Jr

    Naombeni CV ya Miss Tanzania 2016

    Inawahusu nini? Haka katabia cha kufuatiliana vyeti ni dalili za ushoga na upeo mdogo wa kufikiri
  6. Joram kiango Jr

    Duterte: Nimeisikia sauti ya Mungu

    Nahisi anachanganyikiwa huyu
  7. Joram kiango Jr

    Wanasiasa Wanapojidanganya Ni Pale Wanapofikiri Mungu Yupo Kuwatetea Tu Na Siyo Kuwahukumu Pia.

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  8. Joram kiango Jr

    Ushauri: Nimegundua mdogo wangu kabisa na dada wa kazi wanasagana. Je, nifanye nini?

    Fanya maamuz magumu... Chukua picha kama ushahidi uwaonyeshe wazazi,mambo mengine yanaleta nuksi kwa nyumba
  9. Joram kiango Jr

    Siku ya leo alizaliwa mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema, Mungu ampe maisha marefu

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
  10. Joram kiango Jr

    Shariff Seif kweli hapa yamemfika ya CUF

    Sawa tumekuelewa... Nyamaza basi sioni kama kuna kipya apo
  11. Joram kiango Jr

    Wabunge wa CUF wakamatwa na polisi

    Sitoipigia kura CCM milele katika Maisha yangu hili DUBWANA halifai ata kidogo
  12. Joram kiango Jr

    Je, Tanzania ihalalishe matumizi ya Bangi?

    Mwaka 1933 huko ulaya.kuna mwanamke alikuwa mtumiaji wa bangi baada ya muda alifikia uamuzi wa kuolewa na mtu mweusi na apo ndipo kuhalamishwa kwa bangi kulipotokea.
Back
Top Bottom