Ninachokiona CCM kufikia 2020.

Ninachokiona CCM kufikia 2020.

Magufuli ameshaboa big time. Ila atashinda tu 2020. Si unawajua watanzania tulivyo? Kama kuna watu wanamshukuru raisi kwa kuwaletea kupatwa kwa jua, watashindwa kumshukuru kwa kuwaweka hai mpaka 2020?

Eneo ambalo ze uchwara anaweza kupoteza ni kwenye ubunge. Wapinzani wakijipanga vizuri, wanaweza kupata zaidi ya 1/3 ya wabunge wote. Likitokea hilo, ccm kwisha habari yake.
 
Najua hali hii haiwezi kuendelea mpaka huko 2020,pili hata ikiendelea watu watakua wameshajua namna ya kuishi nayo kwa hiyo aliyepo atachaguliwa tu.Sasa hivi Kilio ni kikubwa kwakua aliyepo ameleta mabadilko ambayo wengi hawakuzoea lkn ni mazuri.
Uzuri wake nitajie japo moja tu
 
Back
Top Bottom