Rais mstaafu ben willium mkapa ameumbuka katika kampeni za uchaguzi zilizomalizika juzi huko arumeru mashariki kwa kusema eti vicent nyerere hajulikani kwenye ukoo wa nyerere wakati ukweli anaujua fika kuwa vicent nyerere ni mtoto wa mdogo wake nyerere na ndio maana siku ya mazishi ya baba wa...
RAIS MSTAAFU BEN MKAPA AUMBUKA.
Rais mstaafu ben mkapa ni mmoja wa viongozi walioumbuka katika uchaguzi uliopita huko arumeru. akiwa katika kampeni mkapa alikwenda mbali na kuanza kutoa maneno ya kejeli kwa vicent nyerere kwa kumwambia kuwa yeye sio mtoto wa nyerere wakati anajua fika kuwa...
RAIS MSTAAFU BENJAMIN MKAPA AUMBUKA.
Rais mstaafu ben mkapa ni mmoja kati ya viongozi wa ccm walioumbuka katika kampeni huko arumeru. akiwa katika kampeni mkapa alikwenda mbali na kuanza kutoa maneno ya kejeli kwa vicent nyerere kwa kumwambia kwamba yeye sio mtoto wa nyerere wakati anajua fika...
mmh mimi nawajua fika hawa jamaa wa clouds radio ni watu wa lowasa ndio maana kila kukicha wanapenda sana kumpamba lowasa. nimejaribu kufanya utafiti nimegundua ya kwamba habari yoyote nzuri iliyoandikwa juu ya lowasa wao wanapenda kuipamba sana. lakini itokee habari kama ya dr mwakyembe au...
kwanza nianze kwa kumshukuru mwenyenzi mungu muumba ya yote na mwingi wa rehema.pili niwashukuru wapambanaji wote wa chadema pamoja na mimi kwa ushindi huu mkubwa ambao tumeupata. hongera sana. hii inaonyesha ni kwa kiasi gani chadema kinazidi kukua hapa tz na kuweza kupata wanachma wengi zaidi...
:lol: nimecheka mpaka tumbo lauma jamani. lowasa kaumbuka. kama kuna siku ambayo lowasa hata kaa aisahau ni siku ya jana pale kijana mdogo masikini kabisa akaweza kuwashikisha adabu matajiri ,wezi wa pesa za umma,mafedhuri na watu wasijali watu wengine, kuweza kupata ushindi wa haki ambao...
wakati umefika sasa ,dhuluma, uonevu na kila aina ya ghiliba sasa vinakwenda ukingoni. aluta kontinua mapambano bado yanaendelea.tuwaunge mkono makamanda wetu .nawaombea makamanda wetu walioumia wapone haraka ili warudi kufanya kazi waliyoiacha.
kwa sababu akili yako imechoka na haina uwezo wa kufikiri kitu chochote maishani mwako, ni lazima uone hon dr harrison mwakyembe hana jipya. wala sishangai unavyoandika upuuzi wa kiasi kilichopitiliza namna hiyo.
Katika miaka ya 1889 wakati wa vuguvugu la mapinduzi ya ufaransa watu wa aina...
jamani mungu amsamehe kwa lipi baya alilofanya. ningekuelewa ungesema mungu awasamehe wale waliomlisha sumu dr mwakyembe.jaribu kuwa makini unapoandika kitu
tukuletee ushahidi kutoka wapi?mbinguni ? acha kuwa mjinga na usitufanye watu wote ni kama mke wako au mabwana zako akina lowasa, rostam na huyu mwema. tumeshajua kinachoendelea coz mwema ameshapelekewa ushahidi wa kutosha anajifanya haoni anasubiri apate amri kutoka kwa wakuu wake lowasa na...
we **** unataka ushahidi kutoka wapi? mbinguni? acha mambo ya kisenge. kila kitu kipo wazi kabisa. subiri na sisi tufanye kazi yetu. utasikia. mungu ibariki tz
acha unafiki wewe, sitta ni kiongozi shupavu anaehitajika katika nchi hii. we endelea kubaki na ulimbukeni wako wa kuwa kibaraka wa edward. huna jipya kazi yako ni kuendeleza unafiki tu, wewe pamoja na huyo lowasa wako wote ni wezi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.