mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 559
Huyu Kimaro a.k.a 7,6 hiyo jina aliipatia hapa A town,enzi yake miaka ya 1987 hadi 2001 hv na ana misifa haswa na yuko njema kiafya kweli kweli na hata kikosi yake yote karibia wamekuwa mang'aa na hata wengine wameshatangulia mbele ya haki kwa mfano Msomali,huyu alimkamata mama mmoja aliyekuwa anauza pombe aina ya gongo na ndipo yule mama akamwomba sana amwachie na katukatu akakataa kbs kumsamehe yule mama akamkamlia na maziwa akiwa na maana chochote anachofanya ni kwa ajili ya watoto lakini msomali akakataaa na ndipo msomali akabeba ile gongo,Hakika nawaambia yule askari baada ya kuondoka tu akakanyagwa na catapiler lile la kutengeneza barabara na ndio ikawa mwisho wa uhai wa huyu rafiki yake 7,6! Mtaona nasema uwongo lakini ukweli ndio huo!
Mkuu hapo nilipo bold,italize na ku underline,,umemwona Patrick Kimaro@ Saba sita hivi sasa? pamoja na makeke yake yote jamaa hoooooii,afya sio yenyewe,ni yale mambo yetu yale real! Pia chanzo cha jina 76 c kwamba alibatizwa Arusha,bali ilikuja kama kifupisho cha Force namba zake ambazo ni E.7676. Jamaa ni jambazi paseee!