zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,216
Dr Mwakyembe ni wakati wa kujiangalia mwenyewe,Umekoswa na Ajari ukapona,Wamekulisha Sumu bdo upo hai...Sasa mbunge wangu Waachie vilio vyao..
Kwe elimu yako hauna utakachokosa ukiacha Siasa lakini kwa sasa watakuwinda mpaka wa kupate,
Adui 76 kaenda kupewa mafunzo zaidi..
Nachokuomba Imwage Report yako mbele Umma wa TZ then Mrudishie Mkulu uwaziri wake,Rudisha kadi ya chama,Mwaga na ubunge,Rudi kwa Mungu Na ufanye ibada sanaa,Utubu..Mungu atakusamehe.
Kwe elimu yako hauna utakachokosa ukiacha Siasa lakini kwa sasa watakuwinda mpaka wa kupate,
Adui 76 kaenda kupewa mafunzo zaidi..
Nachokuomba Imwage Report yako mbele Umma wa TZ then Mrudishie Mkulu uwaziri wake,Rudisha kadi ya chama,Mwaga na ubunge,Rudi kwa Mungu Na ufanye ibada sanaa,Utubu..Mungu atakusamehe.