Rais mstaafu ben willium mkapa ameumbuka katika kampeni za uchaguzi zilizomalizika juzi huko arumeru mashariki kwa kusema eti vicent nyerere hajulikani kwenye ukoo wa nyerere wakati ukweli anaujua fika kuwa vicent nyerere ni mtoto wa mdogo wake nyerere na ndio maana siku ya mazishi ya baba wa taifa mkapa alimkabidhi vicent rambirambi kutoka serikalini.
Sasa wana jamvi naomba nimuulize swali Benjamin Mkapa, HIVI BEN MKAPA ANAKUMBUKA ALIWATUKANA WA TZ NA KUWAITA NI WAVIVU WA KUFIKIRI?JE KWA NINI NA YEYE ASIWE MMOJA KATI YA WATZ AMBAO NI WAVIVU WA KUFIKIRI KWA KUSAHAU KUWA VICENT NI MTOTO WA NYERERE?
Naomba kuwasilisha.
Sasa wana jamvi naomba nimuulize swali Benjamin Mkapa, HIVI BEN MKAPA ANAKUMBUKA ALIWATUKANA WA TZ NA KUWAITA NI WAVIVU WA KUFIKIRI?JE KWA NINI NA YEYE ASIWE MMOJA KATI YA WATZ AMBAO NI WAVIVU WA KUFIKIRI KWA KUSAHAU KUWA VICENT NI MTOTO WA NYERERE?
Naomba kuwasilisha.