Una miaka 25 na bado hpo nyumbani kwenu kwa nn usione aibu.......pambana tafuta chumba upange uanze maisha yako uone kama kuna atakae kupigia kelele uoe
Story yako haijabalance hata kidogo imebase upande mmoja(mwanamke wa kipato cha chin au maskin) kuolewa na tajiri haijaangalia upande wa mwanaume mwenye kipato cha chini na kabahatika kuoa kwenye familia ya kitajiri
Wanawake ni wengi kuliko Wanaume
lakini unakuta mwanaume yupo single haya ni masihara kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we inaonesha ata darsan ulikua humsikilizag mwalimu wako... darasa la saba hujui kuna kashimo kakuingiza.....na uliombaje mzigo usioweza kuutumia dah kuna watu wanafel sana
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we inaonesha ata darsan ulikua humsikilizag mwalimu wako... darasa la saba hujui kuna kashimo kakuingiza.....na uliombaje mzigo usioweza kuutumia dah kuna watu wanafel sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.