Naombeni ushauri

Naombeni ushauri

tatizo linaanzia hapa


Tatizo kubwa litakuwa hapa
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 25
Nina mdogo wangu ambaye yupo chini yangu yeye ana umri wa miaka 22, huyu mdogo wangu alikuja kupewa mwanamke mwezi wa 12 alipata mimba uko wakamletea mke nyumbani, Yaani tayari ana mke.

Kuoa kwa mdogo wangu imekuwa kama adhabu kwangu kila anaye fika nyumbani nikuniweka kikaoni na kuishauri nichukue mke kitu ambacho katika akili yangu bado sijafikiria kabisa kuchukua mke

Kama kuna mtu yeyote ambaye aliwahi kupitia situation hii naomba anipe mbinu aliwezaje kuhimili hali hii

Maana kwa jinsi siku zinavyo zidi kwenda naona kabisa nitakimbia kijijini kwetu kukimbia aibu
We mshenzi si ulisema upo Canada?
Kumbe story zako ni chai
 
Mimi ni kijana nina umri wa miaka 25
Nina mdogo wangu ambaye yupo chini yangu yeye ana umri wa miaka 22, huyu mdogo wangu alikuja kupewa mwanamke mwezi wa 12 alipata mimba uko wakamletea mke nyumbani, Yaani tayari ana mke.

Kuoa kwa mdogo wangu imekuwa kama adhabu kwangu kila anaye fika nyumbani nikuniweka kikaoni na kuishauri nichukue mke kitu ambacho katika akili yangu bado sijafikiria kabisa kuchukua mke

Kama kuna mtu yeyote ambaye aliwahi kupitia situation hii naomba anipe mbinu aliwezaje kuhimili hali hii

Maana kwa jinsi siku zinavyo zidi kwenda naona kabisa nitakimbia kijijini kwetu kukimbia aibu
Miaka 25 bado upo nyumbani tena mtoto wa kiume kabisa.
 
Una miaka 25 na bado hpo nyumbani kwenu kwa nn usione aibu.......pambana tafuta chumba upange uanze maisha yako uone kama kuna atakae kupigia kelele uoe
 
Back
Top Bottom