[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu nmekupa like hapo juu baada ya kuona hujapata like hata moja
Umenikumbusha mahubiri ya leo Kanisani, mama mmoja alisema alivyofikia umri wa miaka 28 hajaolewa, alihisi kuchanganyikiwa!Habari wakuu
Mnajua kuna wanawake wanashangaza na kustaajabisha sana asee
Yaani unakuta mwanamke hana mvuto wowote na pia hana hata wanaomtongoza kwa sababu ya mapungufu yake lakini amejaa maringo ukimsemesha na kumtongoza
Wanaume tunahuruma sana, mademu wabovu tunawatongoza kuwapa kampani tu na kuwaondolea ile hali ya kijiona si kitu kwa sababu tu hawana mvuto na hawatongozwi, unataka kuwasaidia unaishia kuchezea maneno ya shombo as if unaitaka ya wema sepetu aseeeee
Unakuta mwanamke Titi ni kubwa balaa limelala, hips hana, sura ya baba yake, umri umegonga 30
Mwanaume Kajitoa muhanga kukutongoza bado unaleta
nyodo Dada angu unaitaji maombi Aise
Sasa kwani wanaume wote mna pesa??Hakuna mwanamme mbaya,,, uanaume psea tu unakua handsome
Wewe ni ke au me samahani nataka kujua tuNdyo umekuja kunifungulia Uzi mkuu, wewe mwenyewe huvutii sasa Mimi sina mvuto at least nipate mwenye mvuto kidogo sasa na wewe tena ndyo walewale hamna nafuu dah[emoji1] [emoji1]
Mimi ni mmama naelekea ubibi dear vipi wewe?Wewe ni ke au me samahani nataka kujua tu
Well said..Ukimtongoza akakukataa kubali kuwa kakataa, sio sababu hajakuvutia basi ndo akukubali sababu umemuonea huruma!!
Wakati unamtongoza sidhani kama ulimwambia unampa kampani sababu ya sura ya babake!!
Lakini, heshimu maamuzi ya mtu, usikejeli uumbaji wa Mungu. Kufanana na baba zetu isiwe tabu!
Sawa, zeeka salama bibi...!!Mimi ni mmama naelekea ubibi dear vipi wewe?
Thank you Grandson!Sawa, zeeka salama bibi...!!
Mkulima hachagui jembe. Anaweza kuwa mbaya ila ana K nzuriSasa hana mvuto ujasiri wa kumtongoza unaupata wapi, unataka kitu ndicho aringiacho si mvuto
Thank you Grandson!
Sizitaki mbichi hizi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi napenda mwanamke mbaya aliye na confidence na akili kuliko mzuri anayelinga wakati kichawni ni funza.
Mmepewa bure toeni bureNa sio kila anayetongozwa lazima akubali, ni misimamo tuu!