Recent content by joneke

  1. J

    GE2015 Huyu siyo Edward Lowassa ninayemfahamu kabla ya kujiuzulu 2008!

    Kwanza uliza umri je umri wa lowasa ww unaweza kuufikia je hayo maji ya Lita ngapiy mpka mtu ashindwe kubeba chupa ya MAJI ata ww uwezi kunywa maji ya Lita moja na nusu bila ya kupumzika
  2. J

    Mazishi ya Mzee Kisumo kijiji cha Ngujin Usangi, Alhamisi Tarehe 13 Agosti, 2015

    Stori kma izo unamuadisia mkeo tuache na lowasa wetu kma co siasa mbona mmemzuia asifike au mlijua akienda kuzika ndio atakuwa juu kuliko mtu wenu
  3. J

    Mpenzi wangu hatosheki tunapofanya mapenzi

    Mmmmmmmmm ana KITU alikuwa anataka ujamtimizia ndio maana alijifanya ajachoka
  4. J

    Yanga yamalizana na Malimi Busungu, asaini usiku wa jana

    Pale mbele yupo tambwe yupo Sherman yupo msuva wamemuongeza kaseke bdo kuna dogo walmsajili kabla ligi aijaisha wanaaribu hela zao na kuua vipaji vya madogo uyo busungu chizi kama javu alishindwa kuonekana atakuwa yeye amuulize tegete
  5. J

    Yanga yamalizana na Malimi Busungu, asaini usiku wa jana

    Upumbavuuuu mtupu amna mtu umo ila kwa sbb alikuwa anatakiwa na simba ndio wanambolokewa
  6. J

    Majambazi waua maeneo ya Mwenge karibu na Oil Com

    Alikuwa anatoka wapi je hizo pesa kapolwa akiwa na gari au anatembea kwa miguu
  7. J

    Mtani unauona lakini usajili unaofanywa Simba SC?

    Danganya totoooo
  8. J

    Kwa hili STRABAG mmechemsha vibaya sana

    Duuuuu wasafiri wengine waongo
  9. J

    Uso kwa uso na mke wa rafiki yangu gesti

    Rudisha mzigo wake mpotezee lkn kma yeye angekukuta angestamili
  10. J

    Hivi wanandoa wenzangu na wake zenu pia wako kama huyu wangu?

    Duu mkuu wkt nasoma hii habari nilikuwa nakuonea huruma sana lkn aina jins ukiangalia ndoa yenu ya kanisani mm nakushauli endelea kuthamini wazazi wko kwani ndio waliokufikisha hpo vile vile wanawake wenye kipato iyo ndio shida yao pole sana kaka
  11. J

    Hiki kichwa cha habari, ni utata mtupu

    Ivi kuna mtu kanunua gazeti kma ilo alafu unafika nyumbani dogo anaomba alipitie
  12. J

    Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

    Madereva wanayo haki ya kufanya hivyo kwa sababu hiyo no kada inayoongozwa kudhalauliwa
  13. J

    Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

    Gongolamboto ni sheeda nimetoka saa kumi kma SAA moja ya jumatatu akuna hata gari bora ya uku MBAGARA mauda yanasaidia kidogo sasa cjui nayo baadae yatagoma
Back
Top Bottom