Tanzania kuna "waandishi makanjanja" hii kauli kuna kipindi aliiongea kiongozi mmoja simkumbuki ila nachokumbuka alipopolewa sana na kalamu za Waandishi but yametimia,tasnia ya habari Tanzania ijichunguze upya inaonekana imevamiwa na wahuni haiwezekani mwandishi makini aandike upuuzi huo ktk gazeti litakalowekwa ubaoni kuuzwa,wizara ya habari nayo imekaa kimya maadili yanavunjwa wanasubiri magezeti makini yaandike maovu ya serikali wayafungie.