Yaliyojiri, Mgomo wa Madereva wa Mabasi nchini - Aprili 10, 2015

Wana jf leo ni majanga, nipo kituon mbez tangu saa kumi na moja.asubuh sijapata usafir had sasa,watu ni weng mno na wengine wameamua kurud majumbani mwao baada ya kuona hamna dalili ya kupata usafir. Naskia kuna mgomo wa madereva nchi nzima.
Rai yangu kwa wahusika chondechonde wakae pamoja wamalize tofauti zao ili mgomo uishe la sivyo ni majanga makubwa.
Nawasilisha.
 
Niko kituoni hapa mitaa ya segerea, hakuna gari hata moja abiria tumeduwaa kituoni! jinsi ya kufika kibaruani haieleweki! Je, huko ulipo hali ikoje?

99% ya member wa hapa jf wana magari yao binafsi!! wengine hawajui kama huo mgomo upo!
 
Gongolamboto ni sheeda nimetoka saa kumi kma SAA moja ya jumatatu akuna hata gari bora ya uku MBAGARA mauda yanasaidia kidogo sasa cjui nayo baadae yatagoma
 
vipi jamani mlioko ubungo terminal.magari ya kwenda mkoani yameamsha au nayo yamegoma??

maana yakigoma yale tuu basi yatosha
 
Niko mbezi mwisho happa nataka kuelekea mkoani mpaka mda huu hakuna basi wala daladala.
 
vipi jamani mlioko ubungo terminal.magari ya kwenda mkoani yameamsha au nayo yamegoma??

maana yakigoma yale tuu basi yatosha

mpaka napita pale 6:10am hakukuwa na bus lililotoka......
 
Serikali kupitia Sumatra imekuja na kanuni mpya ya kuwataka madereva kwenda kusoma kila baada ya miaka mitatu, hii inahusu madaraja yote kuanzia A mpaka C. Ada ya kusoma kwenye vyuo vya udereva ni tsh 500,000. Mgomo huo unatokana name kupinga ujinga huo ulioletwa na serikali, hats sisi madereva wa pick up Leo Leo tumegoma! Kama mambo yatakwenda kama yalivyopangwa, lengo Leo kisitembee chombo chochote barabarani kuanzia gari, bajaji mpaka bodaboda kwani maumivu ya hiyo sheria yanatugusa wote.
 
Ni kweli leo ni noma hakuna usafiri kabsa cc madereva wa wachungaji tuna kikao usharika wa ukonga ila ndio.nchi yetu hii haina habaari.na iterejesia za kusaidia wananchi ila inazo za maandamano ya cuf na cdm
 
na wanatembea haswa.........yani ukiangalia pembezoni mwa barabara utadhani kuna maandamano vile........
Leo hata wakiambiwa nauli elfu 10 inatoka bila shida. Madereva wajanja wangetumia fursa hii tena nauli unatoa mlangoni ndo unaingia......watu wamenunajeee....ahahahaaa
Ngoja ninyamaze nisijeshambuliwa na wananchi wenye hasira kali kama mimi ndo mnyika niliyeitisha kikao na mgomo leo
 
Niko mbezi mwisho hapa naelekea town hakuna cha daladala wala mabasi makubwa.Watu wengi barabarani.
 
hapa Shekilango mabasi ya Kilimanjaro Express, Dar Express na Mohamed Trans yamepaki...ile hali hapo Ubungo bass Terminal hakuna basi lililotoka
 
Back
Top Bottom